Nahitaji mkopo dhamana vyeti vyangu

Nahitaji mkopo dhamana vyeti vyangu

Ndugu zangu naombeni msaada wenu. Nahitaji Mkopo kwa ajili ya kufanya biashara ya Mbazi. Soko lipo ila sina mtaji. Naomben mnikiposhe million 1 ntaweka dhamana vyeti vyangu vya O level na Chuo. Ntarejesha ndan ya mwezi mmoja. Nipo Dar es Salaam. Please niko tayari kwa mazungumzo. Nawasikilizen wadau. Thanx sana
Wewe sio yule jamaa humu aliyeweka uzi wa BURIANI VYETI VYANGU?
 
Vyet n suala la muhimu sana ....nafkir hawez kuviacha vyet vyake huko kwa milion ...wakat kuna siku atakuwa na shida navyo
 
jamn mm mwenyewe nahtaji m.1 ila mm ni mfanyakazi wa serikali so mwenye uwezo anikopeshe baada ya mwezi narudisha dhamana yangu ni vyeti pamoja na kazi yangu inshort siwez acha kurudisha
 
Kukoka tukukoshe na vyeti tukutunzie duh!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imenibidi nicheke msibani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ujue vijana jf wamevurugwa haya tuseme vina A zote utafanyia nini ??
 
Back
Top Bottom