Nahitaji mkopo ili nipate mtaji wa kuanzisha kilimo

Mkuu Mwamba028 uzoefu ninao wa kutosha kabisa.
Nimeopt kilimo cha matikiti coz soko lake ni la uhakika na ni favourable kwa mkulima kama atazingatia usimamizi ili apate quality product.
Hakuna mtu alishawahi kuangushwa na kilimo hiki labda ardhi ikatae na timing akosee. Vinginevyo ni uhakika wa kuchuma pesa takatifu kabisa.
 
Last edited by a moderator:

Ntakutafuta kiongozi tufanye maarifa,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwamba028 nakukaribisha sana ndg yangu uje tuanzishe mchakamchanga tungali vijana, tusingoje fainali za uzeeni ni majanga na magonjwa ya moyo!
 
kweli wakulima wanatabu sana. mi mwenyewe najitahidi kusave na nimejiunga kwenye saccos fulani hivi. vipi, siku hizi unakopesheka?

Sina mpango wa kukopa tena kwa sasa sababu niligundua kuwa nikikopa nawafanyia watu kazi. Pili, mtaji niliokuwa nautafuta kwa project zangu nilishapata na unakuwa taratibu kwa speed ya mimi kupata kausingizi.

haya mambousipokuwa makini, unaweza pata yale maradhi yenye jina la kampuni iliyokufa.
 
Mkuu Kisima, tunaomba mrejesho wa project yako ya matikiti maji.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwamba028 nakukaribisha sana ndg yangu uje tuanzishe mchakamchanga tungali vijana, tusingoje fainali za uzeeni ni majanga na magonjwa ya moyo!
Mlishaanza? Mi nahitaji kufanya hiki kilimo unasemaje nikijumuika nanyi?
 

Kaka nitakusaka ili unipe maarifa ys hiyo kitu inalipa kishenzi
 
Last edited by a moderator:

Ubarikiwe mkuu
 
Unatumia mbegu kiasi gani?mbona kama hiyo pesa ni kidogo kwa mbegu ya shamba la heka mbili?
 

Mkuu Malila naomba mrejesho please ulifanikiwa mtu wa kuungana nae? Nami naweza kuungana nawe? Ajira zetu hizi huwezi kutoka bila kujihusosha na kilimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…