Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Mkuu Mwamba028 uzoefu ninao wa kutosha kabisa.
Nimeopt kilimo cha matikiti coz soko lake ni la uhakika na ni favourable kwa mkulima kama atazingatia usimamizi ili apate quality product.
Hakuna mtu alishawahi kuangushwa na kilimo hiki labda ardhi ikatae na timing akosee. Vinginevyo ni uhakika wa kuchuma pesa takatifu kabisa.
Nimeopt kilimo cha matikiti coz soko lake ni la uhakika na ni favourable kwa mkulima kama atazingatia usimamizi ili apate quality product.
Hakuna mtu alishawahi kuangushwa na kilimo hiki labda ardhi ikatae na timing akosee. Vinginevyo ni uhakika wa kuchuma pesa takatifu kabisa.
Last edited by a moderator: