joseph mzuma
Member
- Dec 31, 2015
- 58
- 50
Wakuu,
Niko ushirombo-bukombe najishughulisha na biashara ya MPUNGA mara baada ya kumaliza chuo mwezi wa 7, nilianza na junia 1 hadi sasa nachukua mbili ni biashara nzuri inalipa naomba mwenye nia na uwezo anikopeshe laki 5 niizungushe kwenye hii biashara nitairejesha
Dhamana yangu ni VYETI vyangu vya SHULE na CHETI cha kuzaliwa.
Niko ushirombo-bukombe najishughulisha na biashara ya MPUNGA mara baada ya kumaliza chuo mwezi wa 7, nilianza na junia 1 hadi sasa nachukua mbili ni biashara nzuri inalipa naomba mwenye nia na uwezo anikopeshe laki 5 niizungushe kwenye hii biashara nitairejesha
Dhamana yangu ni VYETI vyangu vya SHULE na CHETI cha kuzaliwa.