Nahitaji mkopo wa 50000 nakupa uaminifu wangu

Nahitaji mkopo wa 50000 nakupa uaminifu wangu

Nachokushauri kama kweli una shida na una marafiki ambao hata kukusaidia hiyo 50,000 hawawezi jitafakari upya huo ni urafiki gani ulio nao na hao marafiki zako..
 
Habari wakuu nimepata matatizo ya kifamilia wakuu nina shida sana wakuu nahitaji atakaeweza kunikopesha sh 50000 nitarudisha tarehe 20 ni uaminifu wangu 100% nitarudisha maana jasho la mtu haliliki na haliendi bure naomba atakaeniamini nitashukuru

Niko arusha
Asanteni
Mkuu hauna hata ndugu wa kuwaazima[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Habari wakuu nimepata matatizo ya kifamilia wakuu nina shida sana wakuu nahitaji atakaeweza kunikopesha sh 50000 nitarudisha tarehe 20 ni uaminifu wangu 100% nitarudisha maana jasho la mtu haliliki na haliendi bure naomba atakaeniamini nitashukuru

Niko arusha
Asanteni
Mmmmh ulivosema upo Arusha umeharibu kila kitu, machalii wa chuga siwawezi
 
Back
Top Bottom