Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Natumaini wazima wa afya ndugu zangu.
Nina shida na mkopo wa shilingi milioni 1.2 nitarudisha ndani ya miezi miwili tu na riba yoyote utakayoniwekea.
ASANTENI.
ANGALIZO: Najua kitu cha kwanza kitakachokuja katika mawazo ya mwenye nia ya dhati ya kusaidia ni DHAMANA na UAMINIFU.
Mimi kipato changu cha hali ya chini sana kwaio dhamana ni ngumu kwangu lakini kuna vitu tunaweza kuongea nikaviweka kama dhamana kama tutakubaliana, na kuhusu uaminifu, naamini jambo moja kwamba unapoguswa kumsaidia mtu yoyote iwe kifedha ama isiyo ya kifedha Mungu hawezi kukupa mtu ambae atakusumbua, atakupa mtu mwaminifu kama ambavyo wewe umekua mwaminifu kumsaidia jirani yako. Asanteni tena.
Nina shida na mkopo wa shilingi milioni 1.2 nitarudisha ndani ya miezi miwili tu na riba yoyote utakayoniwekea.
ASANTENI.
ANGALIZO: Najua kitu cha kwanza kitakachokuja katika mawazo ya mwenye nia ya dhati ya kusaidia ni DHAMANA na UAMINIFU.
Mimi kipato changu cha hali ya chini sana kwaio dhamana ni ngumu kwangu lakini kuna vitu tunaweza kuongea nikaviweka kama dhamana kama tutakubaliana, na kuhusu uaminifu, naamini jambo moja kwamba unapoguswa kumsaidia mtu yoyote iwe kifedha ama isiyo ya kifedha Mungu hawezi kukupa mtu ambae atakusumbua, atakupa mtu mwaminifu kama ambavyo wewe umekua mwaminifu kumsaidia jirani yako. Asanteni tena.