Mweusi Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 332
- 322
Ndugu wa JF, hususani wajasilia mali na wachumi naileta hoja yangu hiyo mbele kwa msaada wenu.
Nahitaji mkopo wa 1,000,000/= kabla ya Alhamisi ijayo.
Nipo tayari kwa riba ya hadi 10%-20% kwa mwezi.
Muda wa mkopo ni miezi miwili japo riba yawezalipwa kwa mwezi.
Kwa aliye tayari ani PM.
NOTE: Sitaki mikopo ya taasisi.
Nahitaji mkopo wa 1,000,000/= kabla ya Alhamisi ijayo.
Nipo tayari kwa riba ya hadi 10%-20% kwa mwezi.
Muda wa mkopo ni miezi miwili japo riba yawezalipwa kwa mwezi.
Kwa aliye tayari ani PM.
NOTE: Sitaki mikopo ya taasisi.