Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Kama kuna Tiba ya nini?una dhamana?au maneno tu?
Dhamana?riba
weka idea yako humu..
tuichekeche.. tukuona ina uhalisia.. unapata laki 6 fasta..
mambo ya gizani gizan mwisho wa siku tutatapeliana tu..
Dhamana?
wacha waje wakujilipua,but be careful mkuu,najua kuna watu watakupa tu bila riba wala dhamana lakini kuna kitu watakuomba kama huna hiyo dhamana ninayosema mimi.Watatumia dhamana yako mwenyewe!no, ni intrest.
uibe idea yake,na hela usimpe lol
Njaa hizo fanya yakohata akienda bank.. hakuna mtu atakaekukopesha bila kujua utakachoenda kuifanyia.. na ni lazima kumshawishi kwa idea yako... hata akiiandika humu nikaiba siwezi kuifanya kama ambavyo ataifanya yeye mwenye wazo....
asante mkuuKila la kheri
hahaa..u must be kidding mkuuweka idea yako humu..
tuichekeche.. tukuona ina uhalisia.. unapata laki 6 fasta..
mambo ya gizani gizan mwisho wa siku tutatapeliana tu..
asantewacha waje wakujilipua,but be careful mkuu,najua kuna watu watakupa tu bila riba wala dhamana lakini kuna kitu watakuomba kama huna hiyo dhamana ninayosema mimi.Watatumia dhamana yako mwenyewe!
[emoji38] [emoji38]Njaa hizo fanya yako
hahaa..u must be kidding mkuu
btw biashara inafanywa na inajulikana.nimepata fursa ya kuifanya..na ni biashara zaidi ya moja.
Kama sura ninayoiona kwenye avatar ni yako.. nifate Kilimanjaro Hotel chumba namba 208 kabla ya saa mbili usiku niangalie jinsi ya kukusaidia mpendwa... 0715 193 810.Nahitaji kiasi cha kuanzia laki sita.
Nina business idea lakini sina wa kunishika mkono.am alone.
Kinachonikwamisha ni mtaji tu
Mimi ni mwaminifu tutaandikishana then tutapatana kiasi cha kurudisha na muda, kama kuna riba etc!
Shukrani
aisee...r u serious?Kama sura ninayoiona kwenye avatar ni yako.. nifate Kilimanjaro Hotel chumba namba 208 kabla ya saa mbili usiku niangalie jinsi ya kukusaidia mpendwa... 0715 193 810.