kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,631
Habarini wakuu, Nahitaji mkopo wa dharura wa shilingi laki tano baada ya mwezi mmoja nitarudisha 650,000.dhamana zangu ni vitu vya nyumbani na kwenye biashara, nipo tayari kusainishana popote either mwanasheria au serikali mtaa etc. Lengo la mkopo nikuboost working capital. Nipo dar. Thanks.