Habarini wadau. Nahitaji mkopo kukuzia biashara. Ninaishi kwangu, nina saluni ya kike yenye draya mbili mpya, kioo kikubwa cha saluni, na kabati kubwa LA kioo. Kwa aliye tayari kunikopesha kwa riba tuwasiliane please, niweze pata utaratibu kamili.Naishi Dar @ mbezi kwa msuguri
Nimetoka kulipa ada ya mwanachuo, kaniacha mweupee. Na kuna mzigo was rasta+ weaving na baadhi ya vitu vya saluni najitaji niweke kwa ajili ya huu msimu was sikukuu
Nimetoka kulipa ada ya mwanachuo, kaniacha mweupee. Na kuna mzigo was rasta+ weaving na baadhi ya vitu vya saluni najitaji niweke kwa ajili ya huu msimu was sikukuu