Una miaka mingapi?Sijafanikiwa kupata kwakuwa sina connection ya watu kama hao wa mikopo ndomana unaona mpaka leo natafuta watu
29Una miaka mingapi?
Ni mali gani utatumia kama dhamana ya mkopo, endapo ukishindwa kulipa deni ifidie?Natafuta mtu anaetoa mikopo..nina shida na mkopo wa laki tano nipo tayari kulipa riba 30%
Tutaandikishana na utakuja mpaka napoishi kwenye makazi yangu.
0692407964..nipo tayari hata leo
Mkopeshe basi mi nina miaka 60 wewe je???π πUna miaka mingapi?
Nilivyo navyo mieHujui atalipa ndani ya muda gani lakin maana riba pia inaendana na muda
NoUna maswali mengi kwani ww ni police π
Dp yako unaonekana mrembo bibieNo
Nimejaribu tu kufatilia π
Basi nikopee mieNilivyo navyo mie
Kuna kimoja cha asilimia 5
Kingine 10
Na riba ni generally ya mkopo
Kama ni mkopo wa 1M ( kwa 5% ni 50k, na kwa 10% ni 100K