uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Nina vitu vya ndani nimejiajiri nina duka la nguo
Unajua kwa mtu ambaye hana leseni ya biashara anakukopesha ni ngumu bila kushika kitu, unaweza kuwa labda na TV, fridge au chochote mtu anaweza kaa nacho?