Nahitaji mkopo

tata mvoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
534
Reaction score
81
Habari wakuu mie ni mjasiriamali mpya na kuna bidhaa nataka kuongeza hapa dukani kwangu ila mtaji umepungua,hivyo basi naomba mtu yeyote anikopeshe laki moja kwa riba ya asilimia kumi na nitarejesha baada ya mwezi noja.Niko dar es salaam na kwa aliye tayari anipigie simu 0786404808 kwa jinsi ya kuandikishiana na mambo mengneyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…