Nahitaji mnitie nguvu

Pole sana mkuu.

Iko hivi: kila kitu kina hasi na chanya Kama ni hivyo basi kuna siku mambo yataenda vibaya pia Kuna siku yataenda vizuri.
Pia maisha bila changamoto yangekuwa hayana maana, ila kupambana nazo na kuzishinda ndio kunaleta maana ya maisha.
Hivyo usiogope changamoto bali zikija pambana nazo mpaka ushinde, na hapo ndipo unapopata maana ya maisha.

Maisha ni Mapambano na Hakuna Kukata Tamaa.
 
Poleeee, Ila tafuta ka-shughuli ka kufanya huko. Waone hata wale ma-broo wako wa kitaaa waliojiajiri upige dili. Laa sivyo life na hii corona Ni gumu Sanaa.
 
Pole sana mkuu kwa unayopitia,inaonekana una msongo wa mawazo sana,punguza maana matokeo yake utaishia kupata madonda ya tumbo,kujiua ,kisukari nk.

Ili kuondoa msongo wa mawazo na kuwa mwenye furaha hebu tumia huu mlonge,tafuta majani yake yakaushe juani kisha yasage na upate unga,baada ya hapo chemsha maji kikombe kimoja na tia kijiko kimoja cha unga wa mlonge acha ipoe kisha unywe, kutwa Mara tatu,hadi upate nafuu.

Naandika hivi kwa uzoefu ,nimewahi kupitia kipindi kama chako,matokeo yake niliishia kupata madonda ya tumbo,pia epuka kutumia dawa za kupunguza maumivu kama huwa unazitumi,dawa kama diclodenac na marafiki zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujafanya kosa kwenda kusoma medicine(??pregabaline), utatusaidia baadaye. Ongea na marafiki zako,soma novels
 
Kumbe ndo maana mungu hajibu maombi yetu ya lockdown? Wakati tunaomba lockdown kumbe kuna wengine wanafunga lockdown isiwepo? Bora uhai, huyo mama wavumilie kama sisi kuliko kupata hili gonjwa bora kuvumilia hii shida. Huyo mtoto wake bora awe na afya kuliko kupata hili gonjwa.

Mungu tu naomba lockdown kunusuru watu
 
WE SI WAKUTUCHEKA KIVILE NA UKADIRIKI KUSEMA MARA OHH NIKIRUDI MSHAHARA UTAONGEZWA MARA OOH NITABADILISHWA POST SASA KIKO WAPI
 
No pain no gain sir,katika kila kutafuta lazima upate jaribu kama kipimo cha wewe kumudu yanayokuja,usikate tamaa,shikilia hapohapo mpaka kieleweke,hiyo ndio njia ya mafanikio kwa watu wengi kama sio wote,kaa ukijua hakuna mafanikio rahisi,ingawa wengi wakishafanikiwa wanasahau kuwaambia wanaotafuta mafanikio kuwa walipitia njia ngumu sana kufika walipo...
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Upo form ngapi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…