Nahitaji mpenz

Nitakuchek baadae kwenye PM maana nahsi nilibarikiwa kipaji cha kufariji watu!! Then kila nikiona thread za kutafuta wapenzi nilikuwa nachukia coz ni za mamen kuwatafuta mabint! So ur welcom!!
 

Ngoja niku PM
 

Si kweli kuwa umri wake ni mdogo kwani mapenzi yanazingatia miaka?
Mapenzi ni "asili" so hata ukiwa na miaka 17 than ukaamua kuwa na mpenzi ni poa vilevile, la msingi ni kujifunza mapenzi hayana guarantee so yanaweza kuisha (kuachana) wakati wowote!
 
Hutatui tatizo kwa kutumia mkataba,utakuwa na mkataba na bado utaumizwa tu pale ambapo mwenzio ataenda kinyume.Tafuta mwanaume unayempenda kwa dhati na hakuna haja ya mikataba,uhusiano ikibidi kuvunjika utavunjika tu.Nakushauri utafute mtu wa dini yako.nina maana yangu nzuri tu,hasa kama una malengo ya muda mrefu.pia uwe una sali,unaelekea kuwa unatafuta majibu marais rais tu kama hilo la mkataba....tulia my dear,atakuja wakati usioutarajia.kila la kheri!
 
wee ndie umemshauri la maana, nimekupenda
 
Nashukuru sana kwa ushauri wenu mzuri nimeshapata jibu kumbe nilikua napoteaeeee! Kumbe ndo mana PM Kibao mpaka nyingine nashindwa kusoma kisa "mkataba" oohoho.... asanteni kwa kunifumbua macho sasa nimeahirisha. halafu: PM ZINATOSHA SIHITAJI ZAIDI TENA
 
Mkataba...subiri wale wakware utawapata.
 
Sidhani kama ni uamuzi sahihi kuwa na mapenzi ya mkataba, umekosa nini au kimeo wewe?
 
Huku JF sikushahuri huku majeraha yatazidishwa nenda uswazi katafute wa bahati yako huku wote ni nshomile!!!!(Maanake rongorongo)Najua wengi mtani suu ila ukweli utabaki palepale!!Kama nimewakwaza wana jamvi nipo nyuma yenu!kwa kila kitu sichochote silolote!
 

hapo kwenye bold, chunga usiuziwe mbuzi kwenye gunia!
 
Nimekupenda ghafla tatizo hiyo weight yako 72kg, wakati mimi nina 65kg. Wasiwasi wangu ni yakianza malavi davi ya kidhungu ya kubebana sijui ntaweza kukubeba !!?
 
Nimekupenda ghafla tatizo hiyo weight yako 72kg, wakati mimi nina 65kg. Wasiwasi wangu ni yakianza malavi davi ya kidhungu ya kubebana sijui ntaweza kukubeba !!?

uzuri mmoja ni kwamba wanaume mnabeba mara mbili ya uzito wenu
 
kweli dada are you serious? Mh kuna wakati wa mzaha na wa ukweli okey jokes hata kwenye haya ya msingi ?
Ulikuwa unataka mpenzi au ulikuwa unatakakuelewesha ndoa za mkataba ?mhh mungu saidia
 
ARE YOU SERIOUR ?? LOL.. Sijawahi kusikia mapenzi ya mkataba.. Anyways Lakini I'am available.. I'AM SINGLE, SEXY AND FREE..LOL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…