Alifanya vizuri kukwambia usome cause kweli ulikuwa mtoto na sasa ni wakati wako wa kushine wala usinung'unike ni sahihi kabisathanx mpenz nitaangalia uwezekano huo ila alijua kabisa alichofanya koz kasema mamake kamchagulia mke so akaniambia soma mtoto! Unachopaswa sasa hiv nikusoma2 mambo mengine achana nayo.yeye alikua chuo ni mtoto huyo?nataman kummeza!!m2
Si kweli kuwa umri wake ni mdogo kwani mapenzi yanazingatia miaka?
Mapenzi ni "asili" so hata ukiwa na miaka 17 than ukaamua kuwa na mpenzi ni poa vilevile, la msingi ni kujifunza mapenzi hayana guarantee so yanaweza kuisha (kuachana) wakati wowote!
Alifanya vizuri kukwambia usome cause kweli ulikuwa mtoto na sasa ni wakati wako wa kushine wala usinung'unike ni sahihi kabisa
Nimekupenda ghafla tatizo hiyo weight yako 72kg, wakati mimi nina 65kg. Wasiwasi wangu ni yakianza malavi davi ya kidhungu ya kubebana sijui ntaweza kukubeba !!?
asante mpenzi.
mi niliposoma tu, niligundua huyu bado ni mdogo sana. mi nina miaka 26 na sijaguswa na mwanume. yeye ana 23 na kishaumizwa zaidi miaka 7 iliyopita na sasa ameandaa kamkataba akidhani ni muarobaini wa kuumizwa! kweli shetani anawatesa watu! kwa kweli niliposoma niliona nisijihangaishe kujibu kitu, ila nilipoona jibu lako nikaona nikuunge mkono.
mdogo wangu umri wako ni mdogo sana. sijui umefika kiwango gani cha elimu na maisha kwa ujumla, lakini kwa umri wako na mipango uliyonayo, ni mapema sana. zingatia alichoshauri dada yetu Gaga na wengine. asante.
nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza.
praise the Lord
Miss J, sipatii picha siku hiyo unaguswa utakavyoruka kama kitenesiasante mpenzi.
mi niliposoma tu, niligundua huyu bado ni mdogo sana. mi nina miaka 26 na sijaguswa na mwanume. yeye ana 23 na kishaumizwa zaidi miaka 7 iliyopita na sasa ameandaa kamkataba akidhani ni muarobaini wa kuumizwa! kweli shetani anawatesa watu! kwa kweli niliposoma niliona nisijihangaishe kujibu kitu, ila nilipoona jibu lako nikaona nikuunge mkono.
mdogo wangu umri wako ni mdogo sana. sijui umefika kiwango gani cha elimu na maisha kwa ujumla, lakini kwa umri wako na mipango uliyonayo, ni mapema sana. zingatia alichoshauri dada yetu Gaga na wengine. asante.
nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza.
praise the Lord
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
yaani una miaka 23 halafu umekuwa single kwa miaka 7 baada ya kuumizwa! ilikupasa uwe single kwa miaka yote 23 ikiwa na maana huajaanza kujihusisha na mahusiano y akimapenziHabari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
Praise the Lord Mpendwa, mimi nina miaka 28 sijagusa mwanamke, nadhani nikikutana na wewe ambaye hujaguswa we can make a good couple, niruhusu nikuPM basi ili uwe ndio mwanzo.
Miss J, sipatii picha siku hiyo unaguswa utakavyoruka kama kitenesi
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
haha,
usijali mpendwa, unaweza PM kwangu no problem. ila kulingana na timetable yangu, nitaanza kuguswa kuanzia januari mwakani. Glory to God!
Kuna raha yake kwa mwanume na hata kwako kama wote mtakuwa hamjagusa huko nje. Kama ndo shemeji mtalajiwa hongera zake, inaongeza trust kwake. Endelea kumwakikishia kuwa ndo yeye tu na kumtegemea Mungu, ndoa ni furaha tu japo hutakosa kubezwa na walioko kwenye machungu. Cha msingi kaza buti na uzibe masikio kwa maushauri ya hajabu hajabu. Mbarikiwe!
haha,
usijali mpendwa, unaweza PM kwangu no problem. ila kulingana na timetable yangu, nitaanza kuguswa kuanzia januari mwakani. Glory to God!
Bora uchangamke mwenyewe mwaya! Kila la heri Judy.
haha, thanks BAK, tayari walishanichangamkia wengi sana. kwa sasa nawafanyia upembuzi yakinifu ndo maana nimejiwekea deadline ya kukamilisha huo upembuzi kwa msaada wa Mungu. Glory to God
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
Mbona age yako ni ndogo sana kukata tamaa mpenzi, halafu unaongelea kuumizwa sana ukiwa na miaka saba nyuma yaani 17yrs!