Nahitaji mpenz

Kwa kuwa umesema hujafikiria kuolewa, na unahitaji mpenzi wa mkataba, Nimeona unafaa sana kuwa nyumba ndogo,
Na pia kwa experience uliyonayo ya mapenzi kuanzia miaka 13 au chini kidogo basi you can be the best nyumba ndogo mof the year!!

sorry! U guy. Do you think a'm a cows or dogs wa kupandwa na dume lolote? Samahani sana mimi sio spare tyre ooh! Shetani ashindwe
 
Nothing4good mdg wng huo ni mwanzo bado hujaumizwa, wanaume hawana kanuni maalum, na kumbuka siku zote kuwa maandalio ya moyo ni ya mwanadamu, bali jawabu la ulimi hutoka kwa Bwana!!
 
Kwa kuwa umesema hujafikiria kuolewa, na unahitaji mpenzi wa mkataba, Nimeona unafaa sana kuwa nyumba ndogo,
Na pia kwa experience uliyonayo ya mapenzi kuanzia miaka 13 au chini kidogo basi you can be the best nyumba ndogo mof the year!!

sorry! U guy. Do you think a'm a cows or dogs wa kupandwa na dume lolote? Samahani sana mimi sio spare tyre ooh! Shetani ashindwe
 
Realy; :rain:Miss Juddy una miaka 26 na hujaguswa na mwanaume bado au wewe ni mtawa????? Hapo cjaelewa vizuri bado!!!!!!:A S 13:
 


Michelle napenda maushauri yako....lol...
good advise
 
i cant wait my no z........................44. Za mwanzo ntaku pm.
 
Hope ulighaili hili zoezi kwa mabusara uliyomwagiwa na wenye mauzoefu, hope ni mzima wa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…