PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
hahahahahahahaah haya wale wa kusaidiwa mjitokeze kwa wingi,kazi kwenu lakini!
mkuu boss na mkuu shosti mmekimbia post yangu.
hahahahahaha shosti we vipi? Mbona unajiengua? Hahahahah lol! Hutaki msaada weye!? π
mimi sikukimbia,but nimeona kama wa kitchen party hivi
nikashindwa cha kuchangia...lol
nna upendo wa rohoni mie,mambo mazuri nawapendelea wenzangu...Hahahahahaha Shosti we vipi? mbona unajiengua? hahahahah lol! hutaki msaada weye!? π
shosti inabidi ajiengue
yeye uhusiani bila bakora hawezi.....
Yeye bora bakora za kutosha,na pesa asipewe...lol
hahahahhhahahahhahaha hii kali kuliko...ushanchapa nini!shosti inabidi ajiengue
yeye uhusiani bila bakora hawezi.....
Yeye bora bakora za kutosha,na pesa asipewe...lol
Umemshtukia na wewe eheeee......ajenda yake huyu jamaa ni nini?? Anataka aje kugombea vitu maalum ktk kundi la wanawake nini??? Maana watu wamegundua siku hizi ukigusa Wanawake na Watoto basi wewe ndio Yohana Mbatizaji...hahahah...!!!Sasa huyo atakua mpenzi au rafiki utakaemjali?!Mkeo karuhusu?!
acha kunikejeli kichen pati ningeweka kwa wakubwa.
mhhh dogo aliiba passwordhahahahah lol! Ni kweli kabisa nimeiona hiyo thread yake. Anataka bakora za kutosha kabisa π Bora amejiengua na mapema π vinginevyo mapenzi ya hivi asingeyamudu kabisa
hahahahhhahahahhahaha hii kali kuliko...ushanchapa nini!
mhhh dogo aliiba password