Nahitaji mpenzi...lakin hakuna ku-do!.

msiwe na shaka nimejielezea vizuri. What's matter? Nmesema nmezoea kusaidia..kama mmezoea kuwasaidia akina dada mpaka muwapige mijeledi...mimi mke wangu anajua hii ni tabia yangu...na siwezi badili neno''rafiki'' nataka awe mpz wala siwezi ku-do nae. Akitaka atafute mpenzi mwingine wa ku-do nae sio mimi.Kuna ubaya wowote hapo? Au mmezoea kula uliwe? Ha h ah ha Lol.
 
sasa unaona tatizo lako?????
Usipomuelewa mtu unamjibu kwa hasira....
Sikukejeli,seriously.....nimeona unamjibu shosti as if ndie mgomvi wako
so hapo ntachangia nini?????


nachukia pale mtu anapo nikejeli na leo jf invisible kaniudhi moja kwa moja yeye kafuta post zangu mbili saizi nimetoka huko malaria sugu

kaanzishiwa post na mtu mwingine leo hii nimeona post zaidi ya 4 za kuzungumzia watu wa jf alafu mimi naambiwa zimetolewa kwa ajili ya name

calling wewe unaona sina haki ya kuchukia?
 
Mkuu umekuna kunako maana wabongo kwa kusaidiwa...utawaona wa kumwaga...Ila usitoe contacts zqko maana mhhhhh
 


usitufanye sisi hatujasoma saikoloji akina dada maskini walivyo wengi umekosa huko unakoishi sasa kama nia kusaidia maelezo ya miaka ya

nini kwanza wa kusaidia uwakute jf na tayari wana pesa ya kutumia net katafute uko mtaani usitubabaishe na uongo wako.
 

Romance jina zuri unakasirika...chuna bwana unaharibu sifa ya jina
 
Halaf baadae utakuja kuomba ushauri....! Haya kazana ila ukimpata mtambulishe kwanza kwa mkeo!!
 
Najua wanaume wa JF mmezoea Uongo kwa akina dada!Msaada mtu hapangiwi pakuupeleka!Na ww ukihitaji ntakusaidia tu. Ndivyo nlivo zoea. Huko kwa mayatima hua nawasidia niwezavyo...pia mke wangu ancho kituo fulan kwa misaada. Kutoa ni moyo...si kama walivyo wengi hata iman na wenzao hawana ...wabtumia unyonge wa wenzao kutimiza haja zao...! Siwapendi kabisa..hata wewe unaonesha ndio wale wale ma.f.a.t.aki. Kudanganya wadogo zenu kupitia vipato vyenu.Humu nafaham wengi wanajiweza pia wapo wataohitaji mapenzi yangu bila ku-ngonolize.
 

utafanya watu tuhoji jinsia yako
unasema unajua wanaume wa jf
tumezoea uwongo kwa kina dada..
Umejuaje?ulidanganywa?na wewe ni she???????
 
Halaf baadae utakuja kuomba ushauri....! Haya kazana ila ukimpata mtambulishe kwanza kwa mkeo!!
Mke wangu usifikiri mjinga kihivyo! Ananijua tabia hii hivyo hana tatizo. Jamni JF mbona mnaonesha madhaifu hivyo!! Mke wangu naHisi nae yumo humu maana nilimwambia nlipojiunga JF. Halafu mbali na hayo sijaona kitu kitacho mfanya hadi ahangaike! Hana sababu za kuwa kama wadada wengine!
 




badilisha jina sasa hivi mana hujui saikilojia wew wadada wanadanganywa nani kakwambia wewe unatongozwa hapa jf unakubali unategemea nini

kama sio kuvuliwa chupi na kuachwa unatanga hapo na umeishika mkononi unajifanya una huruma kama kweli nia yako kusaidia mimi naku pm

akaunti ili unitumie hizo pesa hasa ukizingatia nina wadogo nalea. unitumia nitajua kweli lakini hapa naona unadanganya tu.
 
nilitaka nijaribu
but nilipoona chini ya bakora nane husikiii
nikaona bora kwanza niendele na gym kwanza
sasa nimefikia uwezo wa bakora 6 lol
nikifika kiwango nakutafuta lol
kiwango kimeongezeka...kumi na sita sasa!
 
utafanya watu tuhoji jinsia yakounasema unajua wanaume wa jftumezoea uwongo kwa kina dada..Umejuaje?ulidanganywa?na wewe ni she???????
Maswali mengine utadhani sio Great Thinker bana? Unamuelewa mtu kutokana na maswali yake pia hata hoja zake?Wengi humu wameona ni jambo haliwezekani bila ku-do nae/nao. I'm a gentleman. Bakora nazitembeza kwa mke wangu tu!Misaada namsaidia mwenye shida. Ubaya ni upi jamani? ,bona mnazidi kunishambulia kama ni dhambi kuwasaidia akina dada bila ku-do nao.
 



acha kujifanya wewe yani hapa ndio umeona wa kuwaidi watu wanaojiburudisha kwa cm za bei na uwezo wa laptop vipi wewe nimesema

badilisha jina haraka sana unatoa pumba hapa.
 
Umemshtukia na wewe eheeee......ajenda yake huyu jamaa ni nini?? Anataka aje kugombea vitu maalum ktk kundi la wanawake nini??? Maana watu wamegundua siku hizi ukigusa Wanawake na Watoto basi wewe ndio Yohana Mbatizaji...hahahah...!!!
Nashangaa kwamba kwenye ndugu zake wote na wa mkewe hamna anaehitaji msaada...kati ya majirani zake wote hamna anaehitaji msaada...na mjini huko ambapo wengi wanaungua jua wakifanya biashara zisizolipa na kuomba omba hamna anaehitaji msaada mapaka aje kutangaza JF!!
 
Acha mzaha Romance!Unanijaribu? Sijasema mhusika ani-PM. NITAWEKA CONTACT MAALUM. NEXT WEEK NTAKUEPO LIBYA.
 
Naamin wengi bado mtaniona wa ajbu vile mmezoezwa tafauti.Siwezi kuzibadili niya zangu. Kwani kiwango cha misaada hua ni kiasi gan? Maana mnaanza kufanya hesabu zenu...wakti pesa na vitu vingine ninavyo mimo.
 
acha kujifanya wewe yani hapa ndio umeona wa kuwaidi watu wanaojiburudisha kwa cm za bei na uwezo wa laptop vipi wewe nimesemabadilisha jina haraka sana unatoa pumba hapa.
WEWEEEEE....bado upo tu JF unafanya nini??? Si umeaga unaondoka na kututukana, hujachapa rapa tu bado??? Ngoja nikushughulikie fasta!
 
Naamin wengi bado mtaniona wa ajbu vile mmezoezwa tafauti.Siwezi kuzibadili niya zangu. Kwani kiwango cha misaada hua ni kiasi gan? Maana mnaanza kufanya hesabu zenu...wakti pesa na vitu vingine ninavyo mimo.
Nikikwambia uniambie nilivyozoezwa utaniambia?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…