PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
- Thread starter
-
- #41
Ahsante kwa ushauri mzuri. Contact ntaziweka maana wataniona muongo. NaOmba ntaowapa msaada wangu si lazima watangaze!Mkuu umekuna kunako maana wabongo kwa kusaidiwa...utawaona wa kumwaga...Ila usitoe contacts zqko maana mhhhhh
shukrani mkuu!nami naonesha moyo ili wengine wafuate nyayo hizi.hongera zako kwa moyo wako wa kusaidia.
Mkeo karuhusu?!
Mbona unaongea kwa Matambo sana, au we ni Bakhresa? Hizo pesa zako(kama unazo kweli) usizitumie kutafutia wachumba, ni bora ukawasaidia watoto yatima na wenye shida mbalimbali.Habari wana jamvi la JF!.Sina makuu...nahitaji mpz awe wa kike umri wowote..awe mwenye matatizo yz kipesa au kimaisha ntamsaidia mawazo hata pesa. Ila ku-do sitohitaji. Sina tamaa za mwili maaba ninae mke wangu anantosha. Maana jamii kubwa siku hupewi msaada lazima mwisho utadaiwa ngono...ama ww unaesaidiwa ili uwekeze zaidi utagawa.Sina niya mbaya mwenzenu. Nimezoea kila nkiwa safarini nje ya nchi na marafiki zangu...moyo wakusaida/kusaidiwa.Nawakilisha.
Ukipata wapenzi 10 je? Kutakuwa na interview?Naomba kuapply, nina deni la mil 5 tu, limenielemea, usihofu nitatangaza hadi kwa Issa Michuzi!JF, niombeeni mwenzenu, huyu kaka awe genuine; maana shida zetu zitapungua, halafu kina dada tusioneane wivu! LOLLast question, na FaizaFoxy anaruhusiwa kuapply?Ahsante kwa ushauri mzuri. Contact ntaziweka maana wataniona muongo. NaOmba ntaowapa msaada wangu si lazima watangaze!
Kama yuko genuine, wenye shida si watoto yatima tu; honestly kina dada wengi wameingia biashara ya ukahaba kwa ajili ya shida, na sadly hakuna mashirika, NGO nyingi zinazojihusisha na shida za wasichana ambao option waliyonayo ni kuuza miili kwa well known makahaba au penzi kwa rest of wanawake ambao si rahisi kuwaita makahaba! Tatizo lipo ila Saikolojia kaliweka kimzaha zaidi, ingawa he might have his own reason kuchukua that cause of action! It is common kusikia kauli kama " yule demu amekula pesa yangu halafu hataki kuachia" toka kwa wanaume; so getting mpenzi just for caring itakuwa msaada for some!Mbona unaongea kwa Matambo sana, au we ni Bakhresa? Hizo pesa zako(kama unazo kweli) usizitumie kutafutia wachumba, ni bora ukawasaidia watoto yatima na wenye shida mbalimbali.
Ahsante kwa kunielewa vizuri.Nakusahihisha kidogo...si kua nimeliweka kama jokes ...ispokua members ndio wameliona kama jokes. Hata ukianza from my thread utaona majibu ya hao wachangiaji...Nimejirahidi kuweka uwazi wa lengo langu lakini hawajiamin kabisa!!Kama yuko genuine, wenye shida si watoto yatima tu; honestly kina dada wengi wameingia biashara ya ukahaba kwa ajili ya shida, na sadly hakuna mashirika, NGO nyingi zinazojihusisha na shida za wasichana ambao option waliyonayo ni kuuza miili kwa well known makahaba au penzi kwa rest of wanawake ambao si rahisi kuwaita makahaba! Tatizo lipo ila Saikolojia kaliweka kimzaha zaidi, ingawa he might have his own reason kuchukua that cause of action! It is common kusikia kauli kama " yule demu amekula pesa yangu halafu hataki kuachia" toka kwa wanaume; so getting mpenzi just for caring itakuwa msaada for some!
Sijahitaji wapenzi ili ku-do nao ila wawepo karibu ili niwasaidie. Na hilo litakua ni jambo ambalo litawatoa hofu kwa kua wengi wao wamezoeshWa...keep n pay. Jamani hayo ni mazoea niliozoeshwa nayo tu! Hata hivi nipo safarini Libya.Ukipata wapenzi 10 je? Kutakuwa na interview?Naomba kuapply, nina deni la mil 5 tu, limenielemea, usihofu nitatangaza hadi kwa Issa Michuzi!JF, niombeeni mwenzenu, huyu kaka awe genuine; maana shida zetu zitapungua, halafu kina dada tusioneane wivu! LOLLast question, na FaizaFoxy anaruhusiwa kuapply?
Embu acha dharau...kuona unazingua watu ni KUTOJIAMINI au KUTOKUKUAMINI?!Ahsante kwa kunielewa vizuri.Nakusahihisha kidogo...si kua nimeliweka kama jokes ...ispokua members ndio wameliona kama jokes. Hata ukianza from my thread utaona majibu ya hao wachangiaji...Nimejirahidi kuweka uwazi wa lengo langu lakini hawajiamin kabisa!!
Kwahiyo ukiwa Libya ndio......??!Sijahitaji wapenzi ili ku-do nao ila wawepo karibu ili niwasaidie. Na hilo litakua ni jambo ambalo litawatoa hofu kwa kua wengi wao wamezoeshWa...keep n pay. Jamani hayo ni mazoea niliozoeshwa nayo tu! Hata hivi nipo safarini Libya.
Lizzy hebu mpotezee huyo hana jipya. Ameishaelezwa sehemu za kupeleka hiyo misaada yake vya kutosha. Masharti ya hiyo misaada yake si ni bora hao watu waeende taasisi za mikopo kama Finca, Pride na nyinginezo zinazotambulika coz huko watapata na mafunzo ya kujisimamia wenyewe na kusongesha maisha mbele kwa mbele kuliko hilo sharti eti awe mpenzi wa kike na eti hataki ku-do! Mpaka hapo tayali dalili za uzalilishaji zinajitokeza, bora angesema anatoa misaada kwa Wanawake ingeweza kuleta mashiko.Kwahiyo ukiwa Libya ndio......??!
hujui kuna watu maujiko yao ndiyo hayo...safarini libya,nikiwa UK sijui nini mradi shobo!Kwahiyo ukiwa Libya ndio......??!
Naitaji nokia ya tochi,lakini yenye tatizo la netiwork!Habari wana jamvi la JF!. Sina makuu...nahitaji mpz awe wa kike umri wowote..awe mwenye matatizo yz kipesa au kimaisha ntamsaidia mawazo hata pesa. Ila ku-do sitohitaji. Sina tamaa za mwili maaba ninae mke wangu anantosha. Maana jamii kubwa siku hupewi msaada lazima mwisho utadaiwa ngono...ama ww unaesaidiwa ili uwekeze zaidi utagawa. Sina niya mbaya mwenzenu. Nimezoea kila nkiwa safarini nje ya nchi na marafiki zangu...moyo wakusaida/kusaidiwa. Nawakilisha.
Kumbe eeeh?!Ngoja na mimi nianzishe yangu kuwajulisha watu kwamba naishi Uswiss...vacation visiwa vya Caribbean na Asia!!hujui kuna watu maujiko yao ndiyo hayo...safarini libya,nikiwa UK sijui nini mradi shobo!
hahahahahahahhaahah wapuuzi tu hao kwani ukiwa huko una tofauti gani na mie wa mwananyamala jamaniKumbe eeeh?!Ngoja na mimi nianzishe yangu kuwajulisha watu kwamba naishi Uswiss...vacation visiwa vya Caribbean na Asia!!
Hakika siwezi sema ukweli wangu kuhusu safari zangu! Ndio tatizo zenu hizo! Hapo afrika pamewatoa macho...ningewatajia Europe the continent west of Asia sijui ingekua vip? Hebu muwe makini kwa maneno yenu. Msaada wangu nimeamua kuchangia hapo.Kumbe eeeh?!Ngoja na mimi nianzishe yangu kuwajulisha watu kwamba naishi Uswiss...vacation visiwa vya Caribbean na Asia!!
Hayo ndio majibu yenu hayanishitui...mmezoea kujibu hovyo.Hata stockholm hua nikifika...nilifaham nkitaja hapo afrika nitawajua aina ya watu kama ww.Hata mazingira ya hapo Libya ni mazuri sana kwa kila kitu kuliko ulipo sasa! SikUeleza hivyo kama ni kudharau...vizuri uangalie kama utahitaji ni sawa au hautohitaji ukae kimya...Mimi nimeanzz na hilo na www kama utaweza anzisha na lako.hujui kuna watu maujiko yao ndiyo hayo...safarini libya,nikiwa UK sijui nini mradi shobo!
Hahahaha...unamsikia jamaa.Anasema eti tunashangaa Libya ambayo iko Afrika je akitwambia kuhusu huko ulaya ..Stckhm and the likes?!Kazi tunayo sie ambao hatujawahi toa miguu nje!hahahahahahahhaahah wapuuzi tu hao kwani ukiwa huko una tofauti gani na mie wa mwananyamala jamani
Usinielewe vibaya! Mbona hamueleweki humu? Hapo ninajibu maswali ya wanajamvi.Hahahaha...unamsikia jamaa.Anasema eti tunashangaa Libya ambayo iko Afrika je akitwambia kuhusu huko ulaya ..Stckhm and the likes?!Kazi tunayo sie ambao hatujawahi toa miguu nje!