PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
- Thread starter
- #41
Ahsante kwa ushauri mzuri. Contact ntaziweka maana wataniona muongo. NaOmba ntaowapa msaada wangu si lazima watangaze!Mkuu umekuna kunako maana wabongo kwa kusaidiwa...utawaona wa kumwaga...Ila usitoe contacts zqko maana mhhhhh