Nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe

Nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe

Kwa hiyo weusi wetu ndio hutaki. Tabia zetu mbona si kama rangi yetu. Watu wazuri sisi. Rangi adimu hii (nyeusi). Wengi wamekunywa maji wamekuwa waarabu.
Wonders shall never end.
 
  • Thanks
Reactions: ywf
1c592a6282c00405557122d49453afa1.jpg

yuko poa ila hamzidi wanguuuuuu
 
nyota ya usiku wa manane, mie napenda mwanaume awe mweusi tiii meno flan meupe halafu mrefu....uwiiiii
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]

Mwingine nipo hapa.Kama wewe ni mweupe jua kwamba wanaume weusi hupenda wanawake weupe na wanaume weupe huwa bize na wanawake weusi.
 
Sisi Weusi ndio wapiga kazi...!!
Kuremba kwetu ni mwiko...
Hatunaga Ushoronga...!
Tunajali sana.
Tunajidai kwa sababu, tunaweza kuwa Weupe, ila Weupe kamwe hawawezi kuwa Weusi...!!

We called a Black Diamond...!
 
Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]


Aiseeeeh,
Wapake rangi " sadolin" utakuwa unajimwangamwaga na rangi upendayo mwenyewe ; nyeupe, njano, nyekundu, kahawia, blue, Silva, pink, maroon, ni wewe tu na macho yako!
Yaani, hapo kwisha habari ya weusi wetu.
 
Aisee wanawake ebu tupeni break kidogo tupumue duh [emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom