Nahitaji mpenzi (Mume)

Mi nipo ukiwa teyali hakuna haja ya pm wala nini hapa hapa panatosha ukowap me wa namna gan unamtaka sifa tafadhali
 
Una kiranga we mtoto!miaka 23 unatafuta mume mitandaoni?hebu jitulize Huo ndio umri mko sokoni we unaleta wenge
Huwezi jua bidhaa ipo kwenye which condition
Au hataki blaa blaa
Anataka ndoa straight up[emoji2]
 
Muha wangu Joannah unamuona huyu! Ati miaka 23 akaolewe? Binti kuolewa ndoa lazima awe anajitambua. Umri >29 hapo hakuna kuachika kimasikhara
Watoto wa Sasa Wana wenge,miaka 23 Yuko mitandaoni anatafuta mume ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜jamani
 
Watoto wa Sasa Wana wenge,miaka 23 Yuko mitandaoni anatafuta mume [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamani
Labda anatafuta sababu ya kuondoka kwa Wazazi wake, maana Wazazi wengine hawataki Watoto wao kuondoka Nyumbani hadi wapate Mume!!
 
Nyanya za Jana ni za Jana tu haziwezi kuwa sawa na za wiki iliyopita,no matter hekaheka za usafirishaji๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
we unaongea tu

Hujui makitu tunayokutana nayo mashujaa wachache hapa Tanzania ๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ