Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni hamkosi Jambo[emoji38]Kikubwa awe anapumua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeshangaa pia...at that age mabwana kibao wanakusalandia...ni wewe tu uchagueUna kiranga we mtoto!miaka 23 unatafuta mume mitandaoni?hebu jitulize Huo ndio umri mko sokoni we unaleta wenge
Wahuni hamkosi Jambo[emoji38]
Yaani ndio yupo kwenye peak..sijui anakwama wapiNimeshangaa pia...at that age mabwana kibao wanakusalandia...ni wewe tu uchague
Lazima atakua na mtoto au Watoto hilo sina shaka nalo kabisa!!Una mtoto..
Wewe ni binti tu. Huna sifa ya kuitwa mwanamke.Mimi Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 23, natafuta mume. Aliye serious karibu PM kwa maelezo zaidi, thanks!
Kwendraaaa!miaka 23 unatafuta mume wakati wenzio wana 30 na bado wanatafuta kaz kwanza,weka cv yako ili tusisumbuane baadaeMimi Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 23, natafuta mume. Aliye serious karibu PM kwa maelezo zaidi, thanks!
Haya check hapa upate bless ya kampan ila ndoa we badoMimi Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 23, natafuta mume. Aliye serious karibu PM kwa maelezo zaidi, thanks!
Mnapata wapi ujasiri wa kuacha namba hapaNichek 0679299192
Usicheze na balehe changa,zinaweza hata kukuaibisha mbele ya kadamnasi usipokua makini!!Mnapata wapi ujasiri wa kuacha namba hapa
Kungwi kwenye 1 na 2 😂😂Una kiranga we mtoto!miaka 23 unatafuta mume mitandaoni?hebu jitulize Huo ndio umri mko sokoni we unaleta wenge
Hujataja umri hadi wazee tutakufataMimi Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 23, natafuta mume. Aliye serious karibu PM kwa maelezo zaidi, thanks!