Nahitaji mpenzi na msaidizi

Nahitaji mpenzi na msaidizi

Kama kweli unahitaji msaidizi nichek hapa 0782049595
Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.

Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda serikali za mitaa watakusaidia tatizo lako
Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.

Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent by Diaspora
 
Siku zote wanaume wanatafuta wanawake. Leo huyu mmama ndio anatafuta dume.
Inaelekea Huyu ni mwanamke mwenye Tabia mbaya sana za kuchukua wanaume za wenzake na inaelekea walishamzalisha ba amewahi kuzichoropoa mimba kibao. Sasa anatafuta mtu asiyejua huko nyuma kwake kwamba ni kubovu. Tumekustukia mama. Endeleza ulevi
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom