Nahitaji mpenzi wa kike wa kudate nae tuenjoy maisha

Nahitaji mpenzi wa kike wa kudate nae tuenjoy maisha

Mm nikijana wakiume umri wangu 27 years __nipo dar (nahitaji mpenzi wakudate nae tuenjoy maisha )
NOTE:kuhusu ndoa bado bado (nasubiri text yako inbox)__kuhusu ninae mhitaji umri wake usizidi 35
Utakufa mapema braza bora kuwa single
 
Au Sio....uko wapi nikupeleke bar yenye mademu wa Kali....mi ni boda.

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Nilikutana nayo singida .yaan pale kupata mademu pagumu sana wanakulana kindugu .mm nkaanza hangaika baa zao wana beach yao kama bwawa hivi hapo hola nkarudi mjini kuna ka baa nje kuna maloli ndani kama club ya makut holaaaa .
Nikiwa nimekata tamaa ikasimama boda imeandikwa kama unahela twende nkupe demu asee nkamwita nkampa kwanza balimi 1 atulie akanambia bro imeisha niandalie 10 .nkasema huyu hajui kakutana na The ony king of sinza.nkampa 10 nkamwambia kalete wa maana nakupa 20 ingine . Akasema imeisha
Mayaweee dogo alileta mwanamke alikuwa mweupe kama irene uwoya nywele kaweka wingi ya fupi ka mjapan tumbo kama lulu michael .tako jaman labda masogange Rip yaan dogo akawahi bro utaweza anataka 50 .nkamwambia kamata kwanza 20 ingine kaa hapa unywe balimi 5 ujipongeze.nikamwambia yule mtoto .wife njoo kaa hapa mume umepata.nika mpa 50 nkamwambia weka mpesa hapo kibandan nkamwambia asubuhi itategemea utavojituma ntaongeza .
Asee yule mtoto alikuwa mzuri tatizo la mademu wakali hawana akili
.alinambia ndoto yake ni kiwa vixen wa diamond .nilikula yule mtoto siku mbili nkachukua namba kurudi chuga wahuni wakanikaba pale mianzini wakailamba simu mpaka leo nakukumbuka mpenzi wangu Hanifa.
 
Au Sio....uko wapi nikupeleke bar yenye mademu wa Kali....mi ni boda.

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Nilikutana nayo singida .yaan pale kupata mademu pagumu sana wanakulana kindugu .mm nkaanza hangaika baa zao wana beach yao kama bwawa hivi hapo hola nkarudi mjini kuna ka baa nje kuna maloli ndani kama club ya makut holaaaa .
Nikiwa nimekata tamaa ikasimama boda imeandikwa kama unahela twende nkupe demu asee nkamwita nkampa kwanza balimi 1 atulie akanambia bro imeisha niandalie 10 .nkasema huyu hajui kakutana na The ony king of sinza.nkampa 10 nkamwambia kalete wa maana nakupa 20 ingine . Akasema imeisha
Mayaweee dogo alileta mwanamke alikuwa mweupe kama irene uwoya nywele kaweka wingi ya fupi ka mjapan tumbo kama lulu michael .tako jaman labda masogange Rip yaan dogo akawahi bro utaweza anataka 50 .nkamwambia kamata kwanza 20 ingine kaa hapa unywe balimi 5 ujipongeze.nikamwambia yule mtoto .wife njoo kaa hapa mume umepata.nika mpa 50 nkamwambia weka mpesa hapo kibandan nkamwambia asubuhi itategemea utavojituma ntaongeza .
Asee yule mtoto alikuwa mzuri tatizo la mademu wakali hawana akili
.alinambia ndoto yake ni kiwa vixen wa diamond .nilikula yule mtoto siku mbili nkachukua namba kurudi chuga wahuni wakanikaba pale mianzini wakailamba simu mpaka leo nakukumbuka mpenzi wangu Hanifa.
Ukipata wengi npunguzie na mm....
Utaambulia wasio na misambwanda
 
Nenda Mwenge,makumbusho Au kigamboni Ferry Nenda Nyakati Za Jioni Aisee Kuna Wachumba Kibao Tena Pisi Za Maana Mpaka Udenda Utakutoka,omba Namba Za Wachumba Hata 10 Wakikataa Wote Kaoge Maji Ya Bahari Nyeuse.Tena Wachumba Hao UTI Ni Nadra Sana Sio Kama Wa Tabata.Humu JF Wamejaa Ajuza Na Single Maza Ni Vigumu Kupata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom