Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh kwahiyo ni penzi linalotakiwa kujazwa raha tu si ndio?!#yas__ila simaamishi kugeana mizigo ya shida isiyoisha (mm sio yesu).
Utakufa mapema braza bora kuwa singleMm nikijana wakiume umri wangu 27 years __nipo dar (nahitaji mpenzi wakudate nae tuenjoy maisha )
NOTE:kuhusu ndoa bado bado (nasubiri text yako inbox)__kuhusu ninae mhitaji umri wake usizidi 35
Yeye mwenyewe atakuwa nao anataka kusambaza
Tulikubaliana hakuna kutegeana kula pisi wewe unategea ucha huo upuuz mara moja pisi zipo nyingi sana mtafanya acha uvivu wakoMi nateseka kutongoza kwa mbinde hivi alafu wenzangu mnaweka tu tangazo na mnapata kweli dunia haiko sawa
Acha ujinga wako hayo Mambo mshirikishe mama yakositaki mwanamke wakununua__nataka awe mpenzi nikiwa najambo nimshirikishe tushauriane
Mzee analalamika unajaza choo😂😂 mmenichoka nyumbani?
Sawa shem lake, shem kama shem#yaah__
Maneno ya kuundia bomu la baadaeKatika hayo mapenzi mwanamke akiwa na mambo yake inaruhusiwa kukushirikisha pia?
#gasimeisha
Nipeni miaka mingine mi5 😂😂Mzee analalamika unajaza choo
😳Mm nikijana wakiume umri wangu 27 years __nipo dar (nahitaji mpenzi wakudate nae tuenjoy maisha )
NOTE:kuhusu ndoa bado bado (nasubiri text yako inbox)__kuhusu ninae mhitaji umri wake usizidi 35
Nilikutana nayo singida .yaan pale kupata mademu pagumu sana wanakulana kindugu .mm nkaanza hangaika baa zao wana beach yao kama bwawa hivi hapo hola nkarudi mjini kuna ka baa nje kuna maloli ndani kama club ya makut holaaaa .Au Sio....uko wapi nikupeleke bar yenye mademu wa Kali....mi ni boda.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Nilikutana nayo singida .yaan pale kupata mademu pagumu sana wanakulana kindugu .mm nkaanza hangaika baa zao wana beach yao kama bwawa hivi hapo hola nkarudi mjini kuna ka baa nje kuna maloli ndani kama club ya makut holaaaa .Au Sio....uko wapi nikupeleke bar yenye mademu wa Kali....mi ni boda.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Utaambulia wasio na misambwandaUkipata wengi npunguzie na mm....
Soap gani nzuri atumie kwa uzoefu wako?Achana na mademu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda Mwenge,makumbusho Au kigamboni Ferry Nenda Nyakati Za Jioni Aisee Kuna Wachumba Kibao Tena Pisi Za Maana Mpaka Udenda Utakutoka,omba Namba Za Wachumba Hata 10 Wakikataa Wote Kaoge Maji Ya Bahari Nyeuse.Tena Wachumba Hao UTI Ni Nadra Sana Sio Kama Wa Tabata.Humu JF Wamejaa Ajuza Na Single Maza Ni Vigumu Kupata