Nahitaji mpenzi wa kiume

Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Nitakupata vipi? Naona upo sereous na mimi nipo tayari kwa kazi hiyo nina sifa zote utakazo kazi ni kwako tu mama.
 
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.

Ni pm nikupe mpango mzima
 
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
haaaa!na ubibi wote huo unataka kumgegeda nani???ushindwe na ulegee.
 
Hawa wanaoweka namba zao humu wako sawasawa kweli?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
wonders will never end....haya bibi wa miaka 55 zaidi ya nusu karne anataka kijana wa miaka 26 yani mjukuu wake kabisa uwiiiiiii dunia imefika pabaya
 
wonders will never end....haya bibi wa miaka 55 zaidi ya nusu karne anataka kijana wa miaka 26 yani mjukuu wake kabisa uwiiiiiii dunia imefika pabaya

Hivi enzi zile unajua mababu walikuwa wanaoa watoto wa miaka mingapi ?, Kwahio kama ni kufika pabaya useme ilifika pabaya na sio imefika pabaya
 
Hivi enzi zile unajua mababu walikuwa wanaoa watoto wa miaka mingapi ?, Kwahio kama ni kufika pabaya useme ilifika pabaya na sio imefika pabaya

Tulizoea kuwaona wababu na sio wabibi thats why nimesema imefika pabaya coz na wabibi wameingia kwenye ishu hizi while before hawakuhusika
 
Nina miaka 24 TU!

Napaswa kuja kwenye usahili na cheti cha kuzaliwa?

Kama ndiyo,nipe wiki mbili nifanye mpango RITA...sawa bebi?mengine tuendelee tu teh teh teh,yah!

Ni mimi katoto kako ka ukweli!
 
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
cc: Erickb52hahahahahahhahahaha kumbe watu wakiwa na jezi tofauti ni hatareeeeeeeeeeeee
 
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe H
andsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mu
me wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
34yrs nipo
 
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Aw

e Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
0767084417
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom