Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Sioni aibu maana atakuwa kama mume wangu,na wanangu watamuheshimu kama baba yao.

Ukistaajabu ya wanasiasa utaona ya wanawake wa jamiiforum.......kweli dunia imefika mwisho,wewe miaka 55 bado unafanyia kidudu chako promosheni?
 
Kila la kheri dada, sioni cha ajabu hawa watu wa JF ni wazandiki mbona kila siku vibinti vinaolewa na vibabu na hatushiki mabango.

Acheni hizooo....

Umeona eeh......humu jf weng ni wanafki sana
Hao hao wanaoponda ndio wanao pm

Lol em tuache huu unafki jaman
 

Lazima utakuwa ni mbunge wa ccm tu wewe
 
Ukimwi uoooo!
ujana ule nani uzee u2letee siye

shindwa ktk jina
 
Ukistaajabu ya wanasiasa utaona ya wanawake wa jamiiforum.......kweli dunia imefika mwisho,wewe miaka 55 bado unafanyia kidudu chako promosheni?

U made my day end. WelL sentesi ya mwisho hapo
 
Watoto yatima wako kibao nenda NGO utampata tena very easy!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…