papaa2015
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 411
- 101
Sioni aibu maana atakuwa kama mume wangu,na wanangu watamuheshimu kama baba yao.
Ukistaajabu ya wanasiasa utaona ya wanawake wa jamiiforum.......kweli dunia imefika mwisho,wewe miaka 55 bado unafanyia kidudu chako promosheni?