Nahitaji mpenzi wa kiume

Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Sioni aibu maana atakuwa kama mume wangu,na wanangu watamuheshimu kama baba yao.

Ukistaajabu ya wanasiasa utaona ya wanawake wa jamiiforum.......kweli dunia imefika mwisho,wewe miaka 55 bado unafanyia kidudu chako promosheni?
 
Kila la kheri dada, sioni cha ajabu hawa watu wa JF ni wazandiki mbona kila siku vibinti vinaolewa na vibabu na hatushiki mabango.

Acheni hizooo....

Umeona eeh......humu jf weng ni wanafki sana
Hao hao wanaoponda ndio wanao pm

Lol em tuache huu unafki jaman
 
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.

Lazima utakuwa ni mbunge wa ccm tu wewe
 
Ukimwi uoooo!
ujana ule nani uzee u2letee siye

shindwa ktk jina
 
Watoto yatima wako kibao nenda NGO utampata tena very easy!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom