Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Weee yako ishanyauka huna jipya sasa kamtafute mzee mwenzako!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Am 27 na mapenzi nayajua kweli, nime graduate mwaka juzi chuo ila nataka wewe ue wa pembeni na mimi niwe na mke wng kama kawaida ili niendeleze kizazi changu.
Umegraduate chuo gani??? hicho chuo kimekuongezea ujinga badala ya kuutoa... :A S-eek::A S-eek: ajira ngumu mpaka unataka huyo mama akuajiri kimwili??
 

we bi kizee unataka kumlengesha kijana kwa mumeo...akicharangwa mapanga itakusaidia nini! Kumbuka kutengana si kuachana. Acha vijana wasaule na vibinti vya size yao. Punguza gubu ili mumeo akurejee.
 
Kwani nataka nimzalie mtoto?
Me nina watoto wakubwa.
Wa kwanza yuko nje ameoa na ana familia yake.
He's 33yrs,na wengineo.

We kikongwa hapo ni kumdhalilisha huyo mwanao, mimama ya siku hizi sijui mmekumbwa na nini? Kila siku mnawaza ngono eti nimetengana na mume wangu hovyo kabisaaaa, sasa hicho kidogo kitaambulia nini kwenye huo mlegeo wako? Mnajitoa ufahamu mnakuwa full machizi mku. nundu wako.
 
huhuhuhu utamu wko umekwsha cku njing umebakza ugwadu,unataka kumpa nan ngoma yako
 
a na mume wangu hovyo kabisaaaa, sasa hicho kidogo kitaambulia nini kwenye huo mlegeo wako,
HAHAHA KUMANISHAAAAA SENGERIYOU VER MACH
 
Miaka 55? Sasa atapata utamu gani kwako? Kutengana na mume wako katika umri kama huo? Du! Wewe ni noma. Ulimaliza kupata siku zako ukiwa na miaka mingapi? Sasa mtoto wa miaka 22 hadi 26 utamzalia kweli?

..........kwani we ni polisi?
 
Nooo my mother muogope muumba hadi watoto unahitaji
 
Hahaha miaka 55 bado unataka dushelele na uzee wote huo lazima utakuwa unadanganya tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…