Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
wewe mbona haupo serious?
threads zako zingine unazikumbuka?
boss leo nimeamini kwamba sisi Gts huwa hatusomi na kumuelewa mtu. huyu AmKATRINA alishaleta nyuzi kibao hapa mpaka za kutaka mchumba na umri akautoa sasa leo anakuja na hili kwann tunamwendekeza? kimsingi tulipaswa kuelewa kwamba she is teasing us.

binafsi nieambulia kucheka tu kwani leo kaja na stail ya kuchekesha watu humu jamvini.
 
Last edited by a moderator:
haya wenye fani zao za kitandani tumeni CV hapooo :wink2:
 
Nimegundua nahitaji kupata lunch...55 mpaka 26/27!!! Unajua kitu inaitwa quenching? Unachoma chuma to the molten state and then cool it with cold water of some few degrees. Chuma kikitoka hapo lazima kiwe "brittle". Kinavunjika kwa nguvu moja.
 

Watu wengi bado hawajajua kuwa thread imeshakwenda mrama kwakuwa wanaendelea ku-comment kabla ya kusoma uzi mpaka ulipofikia.
Wakijafika huku ulipo wengine watatamani kufuta comments zao.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nina 25 nina kipaji cha kutiana cha msingi uwe tayari kupima vvu
 
Watu wamebilaguza hapa lakini naamini umepata PM za kufa mtu eti wakongo wabongo wa kileo tunawajua sana ama utuletee count down ya apllication utakazopata ikifika monday
 
Watu wamebilaguza hapa lakini naamini umepata PM za kufa mtu eti wakongo wabongo wa kileo tunawajua sana ama utuletee count down ya apllication utakazopata ikifika monday

na wewe weka bango lako tuone...
 
nakushauri mama tafuta mzee ili akulee,kijana sioni kama atakufaa sana na isitoshe umri huo wa miaka 55?nadhani unatafuta shuka hali ya kuwa kumekucha.
 
Haya changamkieni fursa hiyo kazi zenyewe za shida...
 
Una uhakika kama imezeeka?
Nina uwezo wa kukupelekesha puta mpaka ukojoe.
OH maaaamah!
mama umedhamiria napenda unavyokomaa nao mwanzo mwisho!ahahhahahahaahh haya mamii kila la kheri!
 
kumbe love connect nako kuna vituko.huwa napitwa hivi.i wish nikifika hiyo age,mchezo niwe bado naupenda
na mie ndo nimegundua shosti!yani huwa wala siliptii ila leo sijui imekuwaje kumbe kuna mbwembwe namna hii!ahahahhahhaha watu wamepinda bana!kha!
 
Miaka 26 wengi vibamia havijakomaa vizuri na macho miamia,ongeza upper limit japo nasi tufaudu mavitus yako looh!!!
 
hivi miaka yote hiyo bado una hamu tuuu? hujatosheka? dah
 
na mie ndo nimegundua shosti!yani huwa wala siliptii ila leo sijui imekuwaje kumbe kuna mbwembwe namna hii!ahahahhahhaha watu wamepinda bana!kha!

snowhie,
hii ndo Jf,
Mpaka wamama wanaomba Mechi na Under 18!
Lol!
 
Last edited by a moderator:
snowhie,
hii ndo Jf,
Mpaka wamama wanaomba Mechi na Under 18!
Lol!
yani mpaka anasema hata tigo anatoa akiridhishwa mweh!ila naona anafanya maskhara manake naona kuna wadau wamekumbuka kuwa kuna thread alituma alisema ana miaka 27 so its kinda attention seeking ili watu washtuke fasta!ni nilikuwa namuimagine hyo mama wa miaka 55 aandike hayo aliyokuwa anacomment nikawa nasema mh!hata kama ni udot com hii sasa komesha!lakini kumbe sio kweli ni mtu tu kaamua kuzingua watu since hayuko real
 

Anataka kupima mapigo ya moyo ya vijana wa Mjini!!
Watu wameshachoka na Maisha haya,wanataka wapate watu wa kuwalea ili walipuke nao.

Hv jamani hakuna M-baba tambi la Njenje anaetaka kumlea Mdada,maisha yameshavaa Bukta,bado kuingia Msambweni.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…