Nahitaji mpenzi wa kiume

Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Uzi umefufuka ukute founder ameenda na COVID-19 Sio kwa uzee huu
 
Me naitwa lizeboy nipo kibaha Nina miaka 25
FB_IMG_15916333394094698.jpg
 
Am a Tanzanian Woman.

Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.

Mimi Nimetengana na Mume wangu.

Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.

Umri wangu ni miaka 55.

Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
Ushapataga
 
Muwe muangalia na post, we posti ya 2012 unauliza ushapata?? Waksti mwenzio anaweka bandiko hapa!! we ulikuwa shule ya msingi!! napendekeza!! kabla hujacoment. Uangalie hilo bandiko ni la lini!!
 
Uzi ni wa mwaka 2012 ila huyu demu alikua muongo kuna uzi wa mwaka huo huo alisema ana miaka 27.
 
Am a Tanzanian Woman.

Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.

Mimi Nimetengana na Mume wangu.

Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.

Umri wangu ni miaka 55.

Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
nipo tayari karibu sana nipe contact
 
Uzi wa 2012
Hata shule nlikuwa cjui namaliza lini primary.
Ama kweli kabisa Shwetani yupo
 
Am a Tanzanian Woman.

Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.

Mimi Nimetengana na Mume wangu.

Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.

Umri wangu ni miaka 55.

Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
Watoto wetu wa kiume sijui tuwafiche wapi jamani! Umeshavuka hadi MENOPAUSE ila unatafuta mvulana wa 22 wa kumpotezea muda? Huwezi kuwashusha watoto wetu hadi hadhi ya SEX TOYS. Hata jina lako tu linaashiria hatari: KATRINA (Kile kimbubga hatari). Tafuta vibabu wenzio......
 
Am a Tanzanian Woman.

Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.

Mimi Nimetengana na Mume wangu.

Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.

Umri wangu ni miaka 55.

Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
Here I am...
Age 26
Body.. thin
D* size 5.9 Inc
Education ...none
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom