Nahitaji mpenzi wa kiume

Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Umwambukize nani vidudu vyako, ingekuwa kama wewe mwanao wa kiume unasikia anatembea na bibi wa umri huo ungejisikiaje? Na unasema uliachwa? Hee!! Tabia kama hiyo ndo ukae na mume? Pole sana mama yangu kama nimekukwaza. Jitahidi kumtafuta mtu mzima mwenzio mwenye ufahamu. ACHA MARA MOJA KUTUSAMBAZIA.
 
miaka 55? Sasa atapata utamu gani kwako? Kutengana na mume wako katika umri kama huo? Du! Wewe ni noma. Ulimaliza kupata siku zako ukiwa na miaka mingapi? Sasa mtoto wa miaka 22 hadi 26 utamzalia kweli?


kwani ng'ombe anazeeka maini??
 
mama nipo kwa ajili yako,nitakupa vitu vipya mpaka utajiona kijana nipigie kwa 0767252990
 
haya makubwa madogo yana nafuu. contact zako ni zipi, unafanya nini na una nini, nataka nijaribu
 
ina maana ukianza nae akiwa na 26 uhusiano utadumu kwa muda wa mwaka tu akifika 27 unabadili sio?
 
U ve got mama am here 4 u n u 'll never regret i reall want to test n eat old flavor
si unajua old is gold
 
Wewe Mama huoni aibu hata kutamka maneno kama hayo? si vizuri kwanza pamoja naa yote kumbuka kila mtu ana haki ya kuishi na kutengeneza familia,sasa wewe unasema unataka kijana wa miaka 26 asiowe wala asiwe na mtoto huoni kama unamnyima haki yake ya kuwa na familia?? nakushauri utafute mzee mwenzako mkajifie tuu kwani kwa hali ya maisha ya leo huo umri ulio nao na huo mcharuko wako utamfanya mtoto wa watu awe widower kwa muda mfupi sana.POLEE sana
 
Katafute wazee wenzio mtumie viagra huko laana khum we.
 
zaidi ya kukuto.mba atafaidika na nini?

Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
 
mijimama mingine cjui ikoje wataka mwana wa mwenzio we huna kijana kama huyo si umtumie kama unaona raha sana mwana wa mwenzio kumuharibia maisha au kama vp tafuta kwenye ukoo wenu mpate kujazana zaidi na kurisishana tabia za ajabu kama izo
 
:A S angry::A S angry: dunia inakwenda wapi jamani!! We mama umeacha mumeo ili ukawaharibu watoto wa wengine? tena nakuomba usiendelee kuandika maana unaleta hasira.

tafadhali na nyie vijana msipende dezo. Fanyeni kazi na mtafute wake wa ujana wenu ili mjenge familia inayompendeza Mungu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom