Nahitaji mpenzi

Nahitaji mpenzi

Uwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo wa kweli,usiwe mbinafsi,uwe unajali

Uwe unajiamini na kusimama kama mwanaume.
Kimuonekano uwe mrefu kuanzia futi 5 kuendelea.

Mimi binti wa kawaida tu,sio mzuri sana
Sina pesa
Elimu ya kawaida
Mkristo
Mrefu 5 ft

Kama unajijua bado uko kwenye harakati zako za umalaya tafadhali usije.kwa heshima zote naomba usije.
Hapa sio pake.

nimekufata in box
 
Uwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo wa kweli,usiwe mbinafsi,uwe unajali

Uwe unajiamini na kusimama kama mwanaume.
Kimuonekano uwe mrefu kuanzia futi 5 kuendelea.

Mimi binti wa kawaida tu,sio mzuri sana
Sina pesa
Elimu ya kawaida
Mkristo
Mrefu 5 ft

Kama unajijua bado uko kwenye harakati zako za umalaya tafadhali usije.kwa heshima zote naomba usije.
Hapa sio pake.
Kama upo mbeya njoo PM, plz
 
Back
Top Bottom