Nahitaji msaada, kibamia kinanitesa sana

Nahitaji msaada, kibamia kinanitesa sana

Kuna rafiki yangu wa kike anapenda wenye vibamia
Vidogo
Nafikiri atakuwa suluhisho lako

Wasifu wake binafsi
Anapenda utani
Hapendi dharau
Anajua kupenda
Mrefu kiasi maji ya bahari mguu chupa
Sura imechongoka kidogo poa ndefu na midomo ya umbo sifuri
Ana umri wa miaka 22
Yupo single
Hapendi siasa
Anapenda kushona na kutarizi mashuka na vitambaa
Siyo mvivu
Amesoma mpaka form4
Ameshika dini kiasi .kristo
Hana majungu majigambo na wivu
Anajituma katika kazi
 
Wala usihangaike sana kulipia laki tatu zote hizo ni pesa nyingi sana wewe zitafutie biashara halafu endelea na issue nyingine ila kuna dawa ambayo ni bure kabisa wala haina gharama ya pesa tafuta mbegu za papai zimwage sehemu maalumu fanya kama unaanzisha kilimo cha mapapai kisha ile miche ikitoka wewe ipandikize kama kawaida then tafuta mche mmoja ambao unauona utakuwa na maendeleo mazuri kwenye ukuaji kisha fanya kuchanjia Kikate kidogo hicho kiba100 chako kisha Kata na kidogo sehemu ya ule mpapai then unachukua utomvu unapaka pale ulipojikata na kisha unachukua damu yako unapakaza pale kwenye mpapai yani unaunganisha undugu unafanya mabadilishano kati yako na mpapai kisha kadri mpapai unavyozidi kukua kiba100 kitakuwa kinabadilika kitamfuata ndugu yake mpapai kwa hiyo hakitakuwa kiba100 tena itakuwa ni mpapai.
Zingatia njia hii ni ya bure hivyo gharama yako ni muda na uhakikishe unakuwa karibu na ule mpapai sio unachanja leo halafu after one week unasafiri kwenda mkoani au nje ya nchi kwa muda mrefu na kuna mipapai mingine inakuwaga na uhai mrefu halafu huwa inakuwaga mirefu sana sasa usipozingatia kitakachokukuta usirudi tena humu JF mana hakutakuwa na dawa ya kukusaidia labda tutakuambia uende kwa wale ambao walikukimbia kwa ajiri ya una kiba100 huenda maandaki yao yatakuwa yamekuwa makubwa zaidi hivyo wataweza kukumudu.
Yote kwa yote nikutakie safari njema ya kutafuta jina la mwanaume mashine
Sasa mbn kama kuna hatari..mfano ukiukata uo mpapai kuna madhara
 
Wala usihangaike sana kulipia laki tatu zote hizo ni pesa nyingi sana wewe zitafutie biashara halafu endelea na issue nyingine ila kuna dawa ambayo ni bure kabisa wala haina gharama ya pesa tafuta mbegu za papai zimwage sehemu maalumu fanya kama unaanzisha kilimo cha mapapai kisha ile miche ikitoka wewe ipandikize kama kawaida then tafuta mche mmoja ambao unauona utakuwa na maendeleo mazuri kwenye ukuaji kisha fanya kuchanjia Kikate kidogo hicho kiba100 chako kisha Kata na kidogo sehemu ya ule mpapai then unachukua utomvu unapaka pale ulipojikata na kisha unachukua damu yako unapakaza pale kwenye mpapai yani unaunganisha undugu unafanya mabadilishano kati yako na mpapai kisha kadri mpapai unavyozidi kukua kiba100 kitakuwa kinabadilika kitamfuata ndugu yake mpapai kwa hiyo hakitakuwa kiba100 tena itakuwa ni mpapai.
Zingatia njia hii ni ya bure hivyo gharama yako ni muda na uhakikishe unakuwa karibu na ule mpapai sio unachanja leo halafu after one week unasafiri kwenda mkoani au nje ya nchi kwa muda mrefu na kuna mipapai mingine inakuwaga na uhai mrefu halafu huwa inakuwaga mirefu sana sasa usipozingatia kitakachokukuta usirudi tena humu JF mana hakutakuwa na dawa ya kukusaidia labda tutakuambia uende kwa wale ambao walikukimbia kwa ajiri ya una kiba100 huenda maandaki yao yatakuwa yamekuwa makubwa zaidi hivyo wataweza kukumudu.
Yote kwa yote nikutakie safari njema ya kutafuta jina la mwanaume mashine
Maana umesema una unga undugu wa damu..na kama ukikua ukafika mahali we umelizika na ukubwa inakuaje?
 
[emoji23] [emoji23] Wengine tunaomba kupunguza wengine wanaomba kuongeza, Dah!!!
 
Mbona si ndogo sana mpaka kikukoseshe amani?
Niliwai kua na mkaka ilikua ndogo zaidi ya hapo na alikua na amani tu! Tulikuja achana kwa mambo mengine ila sio size ya uume wake.
Ulikuwa unaenjoy/ fika kileleni?
 
iv ni kweli kiba100 kinaweza kuongezeka urefu?? Kuna mtu yeyote anaweza kutoa ushuhuda??

Ikiwa sababu ya kiba100 hicho hutokana na mirath za genes (Genetics) kiba100 hicho kitarefukaje??
 
Dah kweli duniani mwenyezi mungu katuumba tofauti wengine tuna ukuni wa ukweli wengine wanalia
 
Imefikia hatua nawaogopa sana mabinti warefu na wale wenye maumbo makubwa kwa dhana kuwa nitaumbuka lakini nimegundua hata hawa wafupi habari yao si haba.

Baada ya tendo, wengi wameonesha kunidharau wazi, mmoja amewahi kuniambia
eti iko kama PIRITON.

Najisikia vibaya sana wakuu, kama kuna msaada ninaoweza kuupata lakini gharama
zake zisizidi laki 3 naomba mtu anicheck INBOX.
bora utuachie simba yetu
 
Back
Top Bottom