tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Ni familia ya mke wangu wanahangaika na hii mirathi mpaka leo tangu mwaka jana. Suala ni kwamba watu wa hazina wamesema wameshatuma hundi tangu tr.21/09 kwa hiyo ikishafikia hatua hiyo what comes manake mahakamani wamesema mama aende Posta.