Nahitaji msaada kwa tatizo hili la mpenzi wangu

Nahitaji msaada kwa tatizo hili la mpenzi wangu

eskobas2016

Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
71
Reaction score
31
Hello doctor and wanajamii forum natumaini mko salama kabisa, labda niende straight to the point, mimi nina mpenzi wangu ambaye alikuwa nje ya nchi kimasomo, ameludi wiki tatu zilizopita, ila tatizo linakuja kwamba toka ameludi kwanza hana hamu ya kufanya mapenzi nami.

Pili pale ninapomshika sehemu kadhaa ili ajisikie kufanya huwa ana jisikia hamu na tufanya ila huwa anatoka sana damu kama anableed, nikumuuliza anasema hana tatizo lolote, tumeenda kupima kama ana mimba na kukuta hana nikampima HIV nayo hana, hapo sijajua tatizo ni nini.

However nimegundua pia hata maeneo yake ya chini (uke) umekuwa mkubwa sana niki compale na the way alivyokuwa kabla, nilimwambia twende kwa doctor for checking anasema yeye yuko salama kabisa hana tatizo lolote, hapo nikawa na mashaka, Kwa sasa hatujafanya i mean kukutana kwa wiki nzima, na hata hajisikii nami kuchepuka sipendi na tatizo silijui.


Please wadau kama kuna mtu ameshawahi kutana nakitu kama hiki au anajua dawa yake au tatizo nini, nitakuwa na amani sana kulitatua hili tatizo.
Asanteni sana rafiki zangu.
 
Hili laitaji ushauri waki-daktari zaidi..!mpeleke hospital kwanza.
 
Duuuuu, pole umepigiwa sana huko nje. Ukweli anaujua fika ila hawezi sema. Hawa hua co waaminifu sijui waliumbwaje?
 
Duuuuu, pole umepigiwa sana huko nje. Ukweli anaujua fika ila hawezi sema. Hawa hua co waaminifu sijui waliumbwaje?
ni kweli ukweli atakuwa anaujua ila nimembana sana hataki kusema, na hospital hataki kwenda anadai mbona hii ni normal
 
Sky Eclat, sikatai ila more than 90% are not faithful. It is so painful watu wengi wameumizwa na hawa viumbe. Hawajali no matter how u toiled towards her success.
 
Back
Top Bottom