Nahitaji msaada kwa tatizo hili la mpenzi wangu

Nahitaji msaada kwa tatizo hili la mpenzi wangu

Hello doctor and wanajamii forum natumaini mko salama kabisa, labda niende straight to the point, mimi nina mpenzi wangu ambaye alikuwa nje ya nchi kimasomo, ameludi wiki tatu zilizopita, ila tatizo linakuja kwamba toka ameludi kwanza hana hamu ya kufanya mapenzi nami.

Pili pale ninapomshika sehemu kadhaa ili ajisikie kufanya huwa ana jisikia hamu na tufanya ila huwa anatoka sana damu kama anableed, nikumuuliza anasema hana tatizo lolote, tumeenda kupima kama ana mimba na kukuta hana nikampima HIV nayo hana, hapo sijajua tatizo ni nini.

However nimegundua pia hata maeneo yake ya chini (uke) umekuwa mkubwa sana niki compale na the way alivyokuwa kabla, nilimwambia twende kwa doctor for checking anasema yeye yuko salama kabisa hana tatizo lolote, hapo nikawa na mashaka, Kwa sasa hatujafanya i mean kukutana kwa wiki nzima, na hata hajisikii nami kuchepuka sipendi na tatizo silijui.


Please wadau kama kuna mtu ameshawahi kutana nakitu kama hiki au anajua dawa yake au tatizo nini, nitakuwa na amani sana kulitatua hili tatizo.
Asanteni sana rafiki zangu.
Pole sana mkuu ,, ila soon Ilo tatizo litaisha !! Sema nn Wenda akawa aliabot mimba siku chache ndo akaja uko kwenu so kwa nje amepona ila ndan bado !!.
 
Walimtumia kutengeneza movie za X, believe me![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Kwa uzoefu wangu huyo mwanamke ametoa mimba karibuni.huoni anagoma kwenda hospital coz anajua alichokifanya ndio maana na uke umekuwa mkubwa.polee mkuu thailand haijawahi muacha mtu salama.
 
Duuuuu, pole umepigiwa sana huko nje. Ukweli anaujua fika ila hawezi sema. Hawa hua co waaminifu sijui waliumbwaje?
Ni lini wanaume walikuwa waaminifu? Kutokuwa mwaminifu kuna jinsia? Au basi tu unataka kugeneralize?
.
.
Mapenzi ya siku hizi hayana uaminifu na ni kwa jinsia zote.
 
Sky Eclat, sikatai ila more than 90% are not faithful. It is so painful watu wengi wameumizwa na hawa viumbe. Hawajali no matter how u toiled towards her success.
Wewe utakuwa umeumizwa sana sikulaumu.
 
Yaan mtu akiishaenda nje ni majanga mara waliwe tigo yaan bure kabisa
 
Back
Top Bottom