Nimekuwa nikisumbuliwa na vipele vidogo vidogo vingi sana usoni,kifuani na mgongoni kwa muda mrefu sana,vipele hivi vinakuwa kama ngozi ya kuku,nimekuwa nikishauliwa kutumia mafuta na vitu mbalimbali bila mafanikio,sasa naomba mnisaidie niepukane na hali hii kwani inanikosesha raha sana.
Ungeweza kumuona Doctor MGonda ni doctor mzuri sana wa ngozi,pia kama ungeweza kumtafuta mansoor daya anaicheck ngozi yako pale pale anatengenezea dawa na mwisho kuna skin clinic ipo hapa namanga juu kidogo ya best bite inaitwa premier cafe kuna skin proffesional mzuri sema uwe na mfuko mzuri guarantee ya kupona ipo.
ahsante sna mkuu,tiba yake hapo namanga inaweza fika sh ngapi ili nijipange