Mr Yes
Senior Member
- Jan 31, 2013
- 153
- 29
Nimekuwa nikisumbuliwa na vipele vidogo vidogo vingi sana usoni,kifuani na mgongoni kwa muda mrefu sana,vipele hivi vinakuwa kama ngozi ya kuku,nimekuwa nikishauliwa kutumia mafuta na vitu mbalimbali bila mafanikio,sasa naomba mnisaidie niepukane na hali hii kwani inanikosesha raha sana.