Jicholamwewe
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 375
- 465
- Thread starter
- #21
KigomaHiyo ni haki yako wala siyo msaada, naona unasisitiza kusaidiwa...lazima kuna mahali utakuwa na shida wewe sio bure!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KigomaHiyo ni haki yako wala siyo msaada, naona unasisitiza kusaidiwa...lazima kuna mahali utakuwa na shida wewe sio bure!
Kama makaratasi yote unayo kwanini wakamhoji mzazi wako?Ndio documents zipo
Mzee wa simiyu, hivi yale mashindano ya waganga uwa yanafanyika mwezi gani?Umetokea Kigoma ama Ngara.Maana sisi wa Simiyu huwa hatutiliwi mashaka kabisa kuhusu Uraia.
July-August.Baada ya mavuno na kuuza Pamba.Mzee wa simiyu, hivi yale mashindano ya waganga uwa yanafanyika mwezi gani?
Jiongeze mzee scholarship ya nchi gani.Nina ndoto za kusoma nje, nilifanikiwa kupata chuo na scholarship lakini napata changamoto nimekosa passport yaani nimenyimwa sababu mzazi alishindwa kujieleza yaani alipishana kauli na Afisa uhamiaji.
Sasa nimepeleka documents zote na barua ambayo nimetumiwa na chuo ili wanisaidie hata passport ya miaka 5 lakini wamegoma kunipa.
Ndugu zangu naombeni msaada hata mawazo sababu nimejaribu kuomba wanisaidie lakini bado.
Hiyo ndio tafsiri halisi ya bwege mtozeni. Wakikuona mlugaluga lazima wakukamue. Mimi sikutoa zaidi ya 150k.Andaa laki 3 utaletewa nyumbani au kwa mama ntilie,wenzio tulikamilisha kila kitu kihalali kabisa ila mpk nilitoa laki ndo wakaitoa
upo wapiNina ndoto za kusoma nje, nilifanikiwa kupata chuo na scholarship lakini napata changamoto nimekosa passport yaani nimenyimwa sababu mzazi alishindwa kujieleza yaani alipishana kauli na Afisa uhamiaji.
Sasa nimepeleka documents zote na barua ambayo nimetumiwa na chuo ili wanisaidie hata passport ya miaka 5 lakini wamegoma kunipa.
Ndugu zangu naombeni msaada hata mawazo sababu nimejaribu kuomba wanisaidie lakini bado.
Darupo wapi