Nahitaji msaada ndugu zangu kwenye kupata Hati ya kusafiria

Nahitaji msaada ndugu zangu kwenye kupata Hati ya kusafiria

Umetokea Kigoma ama Ngara.Maana sisi wa Simiyu huwa hatutiliwi mashaka kabisa kuhusu Uraia.
 
Andaa laki 3 utaletewa nyumbani au kwa mama ntilie,wenzio tulikamilisha kila kitu kihalali kabisa ila mpk nilitoa laki ndo wakaitoa
 
Nina ndoto za kusoma nje, nilifanikiwa kupata chuo na scholarship lakini napata changamoto nimekosa passport yaani nimenyimwa sababu mzazi alishindwa kujieleza yaani alipishana kauli na Afisa uhamiaji.

Sasa nimepeleka documents zote na barua ambayo nimetumiwa na chuo ili wanisaidie hata passport ya miaka 5 lakini wamegoma kunipa.

Ndugu zangu naombeni msaada hata mawazo sababu nimejaribu kuomba wanisaidie lakini bado.
Jiongeze mzee scholarship ya nchi gani.
 
Andaa laki 3 utaletewa nyumbani au kwa mama ntilie,wenzio tulikamilisha kila kitu kihalali kabisa ila mpk nilitoa laki ndo wakaitoa
Hiyo ndio tafsiri halisi ya bwege mtozeni. Wakikuona mlugaluga lazima wakukamue. Mimi sikutoa zaidi ya 150k.
 
Nina ndoto za kusoma nje, nilifanikiwa kupata chuo na scholarship lakini napata changamoto nimekosa passport yaani nimenyimwa sababu mzazi alishindwa kujieleza yaani alipishana kauli na Afisa uhamiaji.

Sasa nimepeleka documents zote na barua ambayo nimetumiwa na chuo ili wanisaidie hata passport ya miaka 5 lakini wamegoma kunipa.

Ndugu zangu naombeni msaada hata mawazo sababu nimejaribu kuomba wanisaidie lakini bado.
upo wapi
 
Back
Top Bottom