Kuna mengi ambayo yanaweza kusababisha hiyo hali,, kwanza muulize kama anatumia vidonge vya majira au njia yoyote ya uzazi wa mpango, pili mkapime kuhakikisha hana mimba,, yawezekana kapata inevitable arbotion, also hizo periods zake zipoje,, ni heavy? kwa maana damu nyingi kupita kawaida inatoka? na inatoka kwa muda gani siku 3 au zaidi ya siku 5?? Tatu nawashauri kwenda kwa daktari wa wanawake aliye karibu na mlipo aweze kuwasaidia... All the best!!