Asante kwa ushauri ,nikweli kwa waswahili aina yoyote ya ukaribu hutafsrika kama kufanya mahusiano namke wa mtu,kwahyo kesi niachane nayo tu mkuu.Achana na makesi sijui kusaka haki we fanya uhame ndani ya mkoa,watu wa pwani Wana viwanda vya bifu hautowaweza ukiwaweza kisheria watakushinda kwa uchawi.
Kazi sio ya baba yako omba uhamisho.
Mazoea yeyeto na wake za watu au ukaribu wowote kwa waswali utafsiriwa mnakulana.
Watu wapwani wanamabifu sana sanaAchana na makesi sijui kusaka haki we fanya uhame ndani ya mkoa,watu wa pwani Wana viwanda vya bifu hautowaweza ukiwaweza kisheria watakushinda kwa uchawi.
Kazi sio ya baba yako omba uhamisho.
Mazoea yeyeto na wake za watu au ukaribu wowote kwa waswali utafsiriwa mnakulana.
Achana nayo,wakati mwingine usipende sana kutafuta haki haki mengine achilia nature ifanye kazi.Asante kwa ushauri ,nikweli kwa waswahili aina yoyote ya ukaribu hutafsrika kama kufanya mahusiano namke wa mtu,kwahyo kesi niachane nayo tu mkuu.
Sababu wamejaa zaidi negativeWatu wapwani wanamabifu sana sana
Naelewa the situation! Onyo usitafute haki kabisa ukiwa maeneo hayo unless unataka Uifate hiyo Haki watu waseme "Umetangulia Mbele ya Haki"..Ni kweli i'm 31 near to celebrate my 32 birthday ...kuna jamaa mmoja nilikua nnamsimulia faragha hii inshu akanishauri the same as you ila sasa kwa upande wake alisema endapo haujafanya nakweli unakiri haujafanya komaa upate haki yako,ila kama umemto-m-mba kimbia mara moja,kusema ukweli mm sijafanya kabisa sina haja ya kuficha hapa ndio maana roho inaniuma , nahili nitukio lakutengeeneza kufuatia kudorola kwa mapato katika pharmacy yajamaa aliyekua anahudumu pale kijijini kabla ya ujio wangu katika kile kituo kwayo mm ndio kama nekua barrier yayy kuuza dukani kwake badala yake wagonjwa wanakuja kituo cha afya/zahanati kupata huduma
Hii coment nzuri sana isikilize na inabdi upeleke malalamiko kbla huyo diwani (Mwanasiasa) hajakupeleka Kwenye baraza la madiwani kwa utovu wa NidhamuAchana nayo,wakati mwingine usipende sana kutafuta haki haki mengine achilia nature ifanye kazi.
Suala lako ukimwambia mwajiri kwa ushahidi atalipa uzito atakuhamisha hata ndani ya mkoa.
We si unaona ardhi ina rutuba kalime wewe ulete mrejesho.Kwakweli these people are too negative in most cases
Dahhhh,umenisema snaa hapa mkuu hadi nimetoa chozi hapa,suluhu nikuondoka nakuwithdaral case kutoka policeNaelewa the situation! Onyo usitafute haki kabisa ukiwa maeneo hayo unless unataka Uifate hiyo Haki watu waseme "Umetangulia Mbele ya Haki"..
Huwezi kuipata Haki kwa mtu alinuia Kisasi,Huwezi kuipata suluhu kwa Mtu mwenye Hasira huwezi kupata Msaada hapo na wala usiitafute vinginevyo wakikushindwa huko watakutafutia Zengwe na nakuApia kuwa Hilo zengwe hautachomoka na ndo itakuwa mwisho wako..
Utapoteza kazi yako,Heshima yako na hata utu wako...
Umri wako ni Mdogo sana bado kijana mdogo Bado unasafari ndefu sana usiharibu safari yako kwa kiburi cha kushawishiwa na watu..
Wengi walioharibu Future zao ukiuliza watakuambia "niliambiwa na watu nisiachie mpaka nipate haki yangu" lakini wote sasa ndo wanaipata Haki kwenye Magereza na jela..
Nikuulize hivi unafikri wanaopakaziwa kesi za kuiba madawa ya Hospitali sio watu?
Wanaambiwa wamebaka wajawazito sio watu?
Wanaoambiwa mtoto kashindwa kupata huduma na kafia Hospitali sio watu?
Wanaopewa kesi za kitaaluma zinazopelekwa kuamriwa na Baraza la madiwani (Humo ambamo Mbaya wako yumo) sio watu?..
Kijana kabla hujafanya maamuzi yenye "Ego" ndani yake Fikiri kwanza umefikaje huko Lindi, fikiri Muda uliosoma ,Fikiri kama una watoto au mke fikiri kama una future yako..
Fikiri watu wanaokutazamia au kukutegemea..
Ukishafikir Vyote hivyo ndyo ufanye maamuzi..
Kesi zote hutengenezwa mitego huwekwa bhasi jihadhari usiwe mmoja ya walio kwenye mitego na kesi maana hutatoka..
Uvuni huko kama wewe sio mchawi,huoni watu wa dar wamenunua mapori wameyatelekeza pwani.Nimewahi kulima nikafeli
Hii ndiyo Tz,unakufa unajionaKuondoka nnaondoka ila sasa kesi hiii nnaifatiliaje katika ngazi za kisheria mkuu maana nahisi kudhulumiwa nakuonewa kwa kutungiwa uongo kinachoniuma zaidi nikuzidi kuwaona watesi wangu wakila Bata mtaani hadi nahisi hivi hivi Tanzania au niko nchi za nje,how come mtu afanye tukio kubwa(mhalifu) halafu anaendelea kula maisha halafu mm nikiyetishiwa maisha ndio niishi kwa wasiwasi
Kukubali kuwa umeshindwa napo pia ni ushindi ndugu.Kuondoka nnaondoka ila sasa kesi hiii nnaifatiliaje katika ngazi za kisheria mkuu maana nahisi kudhulumiwa nakuonewa kwa kutungiwa uongo kinachoniuma zaidi nikuzidi kuwaona watesi wangu wakila Bata mtaani hadi nahisi hivi hivi Tanzania au niko nchi za nje,how come mtu afanye tukio kubwa(mhalifu) halafu anaendelea kula maisha halafu mm nikiyetishiwa maisha ndio niishi kwa wasiwasi
Omba kuhamishwa haraka sana.Mm nimtumishi wa umma katika idara ya afya, miezi sita nyuma nilihamia katika kata moja maeneo ya mkoa wa lindi kutumikia wananchi.
Sasa katika utoaji wa huduma eneo nilipangiwa kikazi kama incharge wakituo husika, huduma zikapendwa nawananchi kiasi cha kupelekea kushuka mapato katika moja ya duka ladawa la mtubinafsi lililokaribu na eneo langu la kazi.
Jambo ambalo lilipelekea chuki kwa bwana huyo kuwepo dhidi yangu, huyo bwana akanitengenezea scandle yakua nnatembea na mke wa diwani jambo ambalo sikuwahi kulifanya wala kujihusisha nalo, ilikua mwezi wapili tr10/02/2024 nakumbuka ilikua mechi ya Afcon mshindi wa tatu kati ya Kongo drc na south Africa.
Baada ya mechi nikarudi kulala majira kama ya sasita kabla usingizi haujanikamata vyema niliona moto mkubwa uliowashwa kwa mafuta ya petrol uliowashwa kwenye dirisha la chumba changu, na NONDO yenye lengo la kunichoma ila nikapiga kelele na kuwahi kuzima moto ,kisha kuamsha majirani baadae watu wengi wakakusanyika kwenye eneo la tukio, asubuhi ya tr 11/02/24 police walikuja pamoja na uongozi wa kata kuchukua maelezo na pia kufanya mkutano na wananchi.
Kwasasa suala hilo baada ya mm mwenyewe kulipeleka police kumekua na mazingira ya mdororo wa shauri langu huko police,naona kama wahusika wametoa rushwa ikiwa ni pamoja na kuwaona watuhumiwa wakidhurula tu mtaani bila ya kukamatwa nakwamba jambo langu linaonekana kutotiliwa nguvu.
Nimejaribu kwenda kwa mkuu wa kituo OCS anaonekana kunikalipia nakuniambia kua mnazingua nnaleta Majungu sasa naona kabisa suala hili ambalo nadhani nijaribio la mauaji dhidi yangu,nifanye hatua gani kuweza kupata haki yangu.
Naomba nisamehewe kwa uandishi mbovu.
Suluhu ni kuhama hapa,naona ndio jambo la muhimu hata nduguzangu wameniambia nihameKukubali kuwa umeshindwa napo pia ni ushindi ndugu.
Hakimu wa kweli ni Mungu, muachie akuhukumie. As long as wewe mwenyewe unajua ukweli katika nafsi yako basi usiwe na haja na mengine.
Mwenye dhamira yake haachi mpaka itimie. Dhamira ya huyo mtu ni kukuangamiza, hatotulia mpaka atimize jambo lake.
Nusuru nafsi yako na weka imani kuwa Mungu atakulipia.
Huo uongo aliokuzulia hauna mashiko nje ya hapo ulipo. Ukiondoka hapo utaacha mabaya yote hapo hapo.
Kila la heri na Mungu akusimamie.
Ina maana Mke wa Diwani mna mawasiliano? Ya kikazi? Ni mwajiriwa mwenzio? If not, mmekutana wapi hadi mkaanza kupigiana simu?? Sitaki kuwa biasedAsante sana kaka,kuna mazungumzo ya simu kwa mkewe diwani akinitahadharisha juu ya usalama wangu kwavile baada ya kuchochewa nayule bwana muuza duka ladawa mumewe alienda kumuwashia moto ndio akanipiga kupitia namba ngeni
Hizi tahadhari nikabla ya tukio lenyewe.
Namba za Mke wa Diwani zinakusaidiaje kiusalama?? Something is not adding upKaka sijamkula wala kuwaza tu hizo mambo ,hapo Nikua alikua anatumia namba ngeni napia namba ambazo zilikua anaitumia nnazo kwa maswala ya kiusalama zaidi ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri .jambo nizito sana