Nahitaji msaada wa kisheria wapendwa

Mkuu, citation ya hiyo case ya Cleophance iweke kitaaluma na itapendeza km utaweka Judgment/Ruling hapa (PDF/WORD) km ambavyo Dragon hufanya.
Thanks!!.
 
Mkuu huyo anawatia jamba jamba tu. Moja huyo hakua mwanafunzi(uanafunzi unakoma siku necta wakikupa matokeo yako), pili yuko zaidi ya miaka 18. Kimsingi huyo ni mwananzengo kabisa, goti unanyoosha vizuri kabisa. Suluhu, bwana mdogo amtafute, amgongeshe safari mbili apige show mgogoro utaisha.
 
Mkuu, citation ya hiyo case ya Cleophance iweke kitaaluma na itapendeza km utaweka Judgment/Ruling hapa (PDF/WORD) km ambavyo Dragon hufanya.
Thanks!!.
dada una complications zisizo na msingi (hii ni jf hafanyi submission).
 

Ahsanteni sana... ilinikosesha amani hii kitu.
Nadhani hapo tupo pamoja...
 

Ahsante sana kwa jibu lako. Nawasubiri hapa wafungur kesi tuende nao sawa.
 
Zunguka kwote mkuu ulieleta hii post, lkn shortcut jibu lako utalipata hapa.

Ahsanteni....

Matokeo ya kwanza kabisa ndio hayakumruhusu kuendelea na form V.
Lakn alirudia form III. Na matokeo hayo ndio yalimpeleka Makongo japo hakupata nafasi ya shule za serikali, sina uhakika yalikuwaje, unless tufanye scenario ya kuwa alifaulu...
 
Ukiangalia kwa makini sana jinsi ulivyotoa maelezo yako na majibu hayaendani. Sijajua hawa wanasheria walikuwa wanabishana wenyewe au wameongeza facts zao na hivyo kukuchanganya tu.

Labda jibu lako kwa kifupi ni kuwa, huyo mdada alipewa mimba akiwa keshamaliza form 5 na kwa kuwa hakuweza kuendelea, sababu ya kukosa credit, si mwanafunzi.

Lakini sheria zote zilizotolewa hapo kama refences zote ni irrelevant. Nasema hivyo kwa sababu hasa education act inatambua mwanafunzi wa primary na secondary na sijaona ikizungumzia kuhusu advanced level ambayo huyo mdada alikuwa anasoma na kupata mimba.

Kuhusu sospa, nayo ni irrelevant kwani wote wako above 18 na pia ni lazima dokta apime atoe uthibitisho wa kubakwa, na mdada aseme km alibakwa na ushahidi mwingine (corroboration) wa kuishawishi mahakama, kitu ambacho kwangu mi sioni kama mdada huyo anaweza thibitisha japokuwa charge sheet inaweza contain counts zilizotajwa na wenzangu.

Kwa kifupi hakuna kesi hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…