Nahitaji msaada wa kisheria wapendwa

Nahitaji msaada wa kisheria wapendwa

Well, ili uweze kulitatua tatizo hili hasa kwa wanasheria wenzangu hapo juu kama mlivyokua mnabishana, mnapaswa kwanza kujua ukomo wa uanafunzi ni upi, sheria gani inayohusika na matatizo ya kimahusiano na ndoa kwa wanafunzi,,, pili nakataa kabisa maoni ya mwanasheria mmoja hapo juu aliesema kua hii ni kesi ya ubakaji, hapana sio kweli, japo moja ya counts inaweza kua hio statutory rape, lakini maswalq haya tayari yameshazungumziwa kwenye sheria yake specific kabisaa.

Nikirejea kesi ya jamhuri dhidi ya emmanuel. Cleophance ya 2017 unreported, mahakama ilisema ukomo wa uanafunzi ufika pale siku ya mwisho ya matokeo ya necta taifa yakitoka bila kujali mtu uyo ataendelea au lah, na uanafunzi unatambulika pale mtu uyo anaposajiliwa rasmi ktk shule husika.... Ndugu mwenye kesi, je uyo dada aliepewa mimba huo mwaka alikua amesajiliwa na shule husika? Alisajiliwa vp kuendelea na form 5 wakat hakua na sifa zozote za kusoma kidato icho? Basi ni wazi hakua mwanafunzi kisheria, na hili naliweka wazi kua serikali chini ya wizara ya elimu haitambui form 5 ya mtu anaesoma huku ana risit, ivyo basi nafunga hesabu yangu kwamba hakukua na kosa lolote mbele ya macho ya sheria wakati wa mahusiano yao watu hao, lakini pia wote wanaonekana kua na above 20's so hata statutory rape haipo hapo.... Sheria ya elimu namba 353 ndio inayohusika na kesi hii.

Hakuna kesi yoyote hapo.
Mkuu, citation ya hiyo case ya Cleophance iweke kitaaluma na itapendeza km utaweka Judgment/Ruling hapa (PDF/WORD) km ambavyo Dragon hufanya.
Thanks!!.
 
Mkuu huyo anawatia jamba jamba tu. Moja huyo hakua mwanafunzi(uanafunzi unakoma siku necta wakikupa matokeo yako), pili yuko zaidi ya miaka 18. Kimsingi huyo ni mwananzengo kabisa, goti unanyoosha vizuri kabisa. Suluhu, bwana mdogo amtafute, amgongeshe safari mbili apige show mgogoro utaisha.
 
Mkuu, citation ya hiyo case ya Cleophance iweke kitaaluma na itapendeza km utaweka Judgment/Ruling hapa (PDF/WORD) km ambavyo Dragon hufanya.
Thanks!!.
dada una complications zisizo na msingi (hii ni jf hafanyi submission).
 
Mkuu huyo anawatia jamba jamba tu. Moja huyo hakua mwanafunzi(uanafunzi unakoma siku necta wakikupa matokeo yako), pili yuko zaidi ya miaka 18. Kimsingi huyo ni mwananzengo kabisa, goti unanyoosha vizuri kabisa. Suluhu, bwana mdogo amtafute, amgongeshe safari mbili apige show mgogoro utaisha.

Ahsanteni sana... ilinikosesha amani hii kitu.
Nadhani hapo tupo pamoja...
 
Naomba nikujibu kwa ustaarabu!
Kesi ya kumpa mwanafunzi mimba obvious hufunguliwa kama RAPE kwa mantiki kuwa victim hana self consent, ndio maana wengi wakitembea na wanafunzi (wakathibitika) hufungwa 30 years!

Hakuna jinai nyingine hapo! Hizo ulizoweka hapo ni case analysis, ambazo hazina msaada kwa mleta mada ambaye ni Layperson!!

Ahsante sana kwa jibu lako. Nawasubiri hapa wafungur kesi tuende nao sawa.
 
Zunguka kwote mkuu ulieleta hii post, lkn shortcut jibu lako utalipata hapa.

Ahsanteni....

Matokeo ya kwanza kabisa ndio hayakumruhusu kuendelea na form V.
Lakn alirudia form III. Na matokeo hayo ndio yalimpeleka Makongo japo hakupata nafasi ya shule za serikali, sina uhakika yalikuwaje, unless tufanye scenario ya kuwa alifaulu...
 
Habari wana jamvi...!

Ninaomba nitoe story fupi kisha mnipe msaada wa kisheria.

Kuna mdogo wangu alimpa mimba mwanafunzi wa kidato cha tano mwaka 2016. Lakini mwanafunzi huyo alimaliza darasa la saba mwaka 2008 na form four 2012. Baada ya hapo hakufaulu form four. Alienda kurudia tena kidato cha tatu 2014 akamaliza 2015 na penyew hakufaulu sawa sawa, ndipo akaenda private form five 2015.
Mwaka 2015 mtihani wa Mock wa hiyo shule alipata 0 na akashindwa kuendelea naasomo kulingana na taratibu za shule hiyo. Sasa mdogo wangu akakutana naye mtaani mwaka 2016 ambapo alikuwa ajiunge form six. Akawa kampa mimba. Sasa hivi wamekorofishana na msichana anamtishia kumpeleka mahakamani kwa kuwa alimtia mimba akiwa mwanafunzi. Kisheria imekaaje hapa?

Amepewa mimba akiwa na 22 years... na sasa ana 24 yrs... tafadhali naombeni msaada.
Ukiangalia kwa makini sana jinsi ulivyotoa maelezo yako na majibu hayaendani. Sijajua hawa wanasheria walikuwa wanabishana wenyewe au wameongeza facts zao na hivyo kukuchanganya tu.

Labda jibu lako kwa kifupi ni kuwa, huyo mdada alipewa mimba akiwa keshamaliza form 5 na kwa kuwa hakuweza kuendelea, sababu ya kukosa credit, si mwanafunzi.

Lakini sheria zote zilizotolewa hapo kama refences zote ni irrelevant. Nasema hivyo kwa sababu hasa education act inatambua mwanafunzi wa primary na secondary na sijaona ikizungumzia kuhusu advanced level ambayo huyo mdada alikuwa anasoma na kupata mimba.

Kuhusu sospa, nayo ni irrelevant kwani wote wako above 18 na pia ni lazima dokta apime atoe uthibitisho wa kubakwa, na mdada aseme km alibakwa na ushahidi mwingine (corroboration) wa kuishawishi mahakama, kitu ambacho kwangu mi sioni kama mdada huyo anaweza thibitisha japokuwa charge sheet inaweza contain counts zilizotajwa na wenzangu.

Kwa kifupi hakuna kesi hapo
 
Back
Top Bottom