Salam,
kwa muda mrefu nimekuwa nasumbuliwa na matatizo ya binafsi,na nimekuwa nahitaji ushauri wa kitaalam,pia kuwe na confidentaiality katika huduma hiyo,hivyo siwezi kuwaomba ushauri watu ninaowafahamu kwani kunaweza kuwa na conflict of interest.,bahati mbaya sifahamu wapi ninaweza kupata huduma hii kwa dar es salaam.
Wapi naweza kupata huduma ya counselling/pyschiatrist?nani anamfahamu psychiatrist mzuri kwa hapa dar es alaam?gharama zake zinaweza kuwa kiasi gani?
kwa anayefahamu naomba namba ya simu/anuani au jina la mtaalamu husika,ili niweze kufuata kwa huduma hii.
kwa muda mrefu nimekuwa nasumbuliwa na matatizo ya binafsi,na nimekuwa nahitaji ushauri wa kitaalam,pia kuwe na confidentaiality katika huduma hiyo,hivyo siwezi kuwaomba ushauri watu ninaowafahamu kwani kunaweza kuwa na conflict of interest.,bahati mbaya sifahamu wapi ninaweza kupata huduma hii kwa dar es salaam.
Wapi naweza kupata huduma ya counselling/pyschiatrist?nani anamfahamu psychiatrist mzuri kwa hapa dar es alaam?gharama zake zinaweza kuwa kiasi gani?
kwa anayefahamu naomba namba ya simu/anuani au jina la mtaalamu husika,ili niweze kufuata kwa huduma hii.