Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda

Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda

Keo Chama

Member
Joined
Aug 10, 2019
Posts
23
Reaction score
46
Kwenu wakuu habari zenu

Mimi kijana wa miaka 25

Elimu form six

Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
 
Kwenu wakuu habr zenu
Mm kijana wa miaka 25
Elimu form six
Nahitaji msaada wa kuoata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
Kiongozi Mshana Jr njoo umsikilize kijana mwenzangu huyu, uone kama anaweza kusaidika.
 
Kwenu wakuu habari zenu

Mimi kijana wa miaka 25

Elimu form six

Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
Tembelea Tawi la UVCCM lililopo karibu nawe ukiwa na kadi ya Chama mkononi jitambulishe jielezee kuna bodaboda za mama mkopo bila riba zimejaa lumbesa
 
Kwenu wakuu habari zenu

Mimi kijana wa miaka 25

Elimu form six

Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
Nenda watu Africa wana matawi kibao Dar.....lingine Mwenge vinyago au Tegeta....utakopeshwa yako....ama la subiri matajiri upewe mkataba
 
Back
Top Bottom