Kiongozi Mshana Jr njoo umsikilize kijana mwenzangu huyu, uone kama anaweza kusaidika.Kwenu wakuu habr zenu
Mm kijana wa miaka 25
Elimu form six
Nahitaji msaada wa kuoata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
Tembelea Tawi la UVCCM lililopo karibu nawe ukiwa na kadi ya Chama mkononi jitambulishe jielezee kuna bodaboda za mama mkopo bila riba zimejaa lumbesaKwenu wakuu habari zenu
Mimi kijana wa miaka 25
Elimu form six
Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
2.7M boksa 3.5MKila LA heri mkuu, hivi boda mpya ni bei gani?
Ipi hiyo ya 2.7 mzee2.7M boksa 3.5M
Nenda watu Africa wana matawi kibao Dar.....lingine Mwenge vinyago au Tegeta....utakopeshwa yako....ama la subiri matajiri upewe mkatabaKwenu wakuu habari zenu
Mimi kijana wa miaka 25
Elimu form six
Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
Sino ray , haujoueIpi hiyo ya 2.7 mzee
Upeleke hela za boss kila wiki acha stress zako DeepPond mwelezee huyuPkpk za mkataba ukishakabdhiwa tu na stres ndio znaanzia apo
wewe huna?Utapata tu, matajiri wanakuja
Akabidhi vitambulisho vya nidaDaslam kupigwa nje nje
Unapelekwa Kwa mzazi feki,m/kiti WA mtaa feki,mnasainia document ofisi ya mtaa feki