Nahitaji msaada wenu ndugu zangu katika ili swala

Nahitaji msaada wenu ndugu zangu katika ili swala

Pole mkuu sasa unaachwaje na mtu ambae hamkuwahi kuwa wapenzi?

Chelewa chelewa utakuta mwana sio wako.
Jamani Half american mwenzio alishakuwa attached to dada mzuri emotionally, kwahiyo maumivu lazima yawepo kwa kiasi chake.

01savag pole sana! Ila nakupa hongera kwakujikuta umetoka kwenye ile hali yakutokutamani/taka kupenda & kutulia na mtu wako, pia kwakuachana na self-sabotaging behaviour.

Honestly, hamna kitu kizuri kama kupenda na kujisikia kupendwa...so remember hako ka feeling going foward. Kwa sasa hivi rudisha focus kwenye kujiimarisha wewe emotionally, intellectually, physically & financially, wakati unasubiria mpenzi wako amalize kuhangaika hangaika huko aliko, ili akikufikia uwe sahihi kama ambavyo nae (hopefully) atakua sahihi kwako.
 
The sad thing about life is that the most loving, authentic and caring people end up being used. Pole sana ndugu, subira zako zinakuponza, ngoja ngoja unaonekana zoba.

Unatakiwa uwe rude kidogo usioneshe urafiki sana. Women don't like (good boys).
Nakubaliana na paragraph yako ya kwanza, lakini usimdanganye mwenzio. Hamna mtu mwenye akili zake timamu ata-tolerate rudeness. Labda awe na ka-agenda ka siri....
 
Nakubaliana na paragraph yako ya kwanza, lakini usimdanganye mwenzio. Hamna mtu mwenye akili zake timamu ata-tolerate rudeness. Labda awe na ka-agenda ka siri....
Mm naona kilicho mponza hakuonesha rudeness(masculinity)... sio rudeness ya kuforce mtu, ila kuonesha kuwa he's interested in them more than friends. Hii wanawake wanapenda.
 
Jamani Half american mwenzio alishakuwa attached to dada mzuri emotionally, kwahiyo maumivu lazima yawepo kwa kiasi chake.

01savag pole sana! Ila nakupa hongera kwakujikuta umetoka kwenye ile hali yakutokutamani/taka kupenda & kutulia na mtu wako, pia kwakuachana na self-sabotaging behaviour.

Honestly, hamna kitu kizuri kama kupenda na kujisikia kupendwa...so remember hako ka feeling going foward. Kwa sasa hivi rudisha focus kwenye kujiimarisha wewe emotionally, intellectually, physically & financially, wakati unasubiria mpenzi wako amalize kuhangaika hangaika huko aliko, ili akikufikia uwe sahihi kama ambavyo nae (hopefully) atakua sahihi kwako.
Alichelewa sana kumueleza namna anavyojisikia au ndio huenda alikuwa bado anavuta subira aone kama ni mtu sahihi kwake.

Kupenda ni raha sana ila kupata mtu unaempenda nayeye akakupenda pia ni raha zaidi, nashukuru Mungu nimewahi kupata raha hizo kwa miaka 4, ilikuwa ni jambo zuri kuwahi kutokea kwenye dunia yangu ya mahusiano.
 
Mm naona kilicho mponza hakuonesha rudeness(masculinity)... sio rudeness ya kuforce mtu, ila kuonesha kuwa he's interested in them more than friends. Hii wanawake wanapenda.
Basi tumia neno assertiveness maana mtu hata akiwa tu pushy ni big turnoff.
 
kama hujawai pitia hii ni ngumu kumuelewa mshikaji alichokiandika ni maumivu juu ya maumivu
 
Basi tumia neno assertiveness maana mtu hata akiwa tu pushy ni big turnoff.
Hapana, mimi kama mtu nliepitia hio circumstance namshauri awe rude, nyie wanawake sio viumbe wa kuonewa huruma. The more una mtreate mwnamke vizuri the more anakuchukulia poa... Make a move and stand on your decisions, hapo ndo heshima itakapo kuja. Bahat mbay demu alikuja mpk geto kabis akalala and he didn’t even fu*k her! After baadae anakuambia kachumbiwa. Asee hii kitu inafikirisha sana au there's something wrong with him!
 
Hapana, mimi kama mtu nliepitia hio circumstance namshauri awe rude, nyie wanawake sio viumbe wa kuonewa huruma. The more una mtreate mwnamke vizuri the more anakuchukulia poa... Make a move and stand on your decisions, hapo ndo heshima itakapo kuja. Bahat mbay demu alikuja mpk geto kabis akalala and he didn’t even fu*k her! After baadae anakuambia kachumbiwa. Asee hii kitu inafikirisha sana au there's something wrong with him!
Haya, all the best to the lot of you!👊🏾
 
Kudos wanajf wote, nayaandika haya yote hapa kwenu nikiamin great thinkers na watu wenye ushauri mzuri mpo hapa, utani pia na kukosolewa naruhusu.
Naomba mnivumilie stori ni ndefu kidogo ila nitashukuru kama mtanisoma mpaka mwisho;

Ni saa 9 za usiku usingizi unatoweka ghafla,Nasikia sim kwa mbali inajirudia nyimbo hizi talking to the moon,impossible,dancing with your ghost etc. Kichwa nacho kinauma kama nimepatwa na maleria kali.
Naamua kukaa kitandani swali la kwanza linakuja "nina shida gan ?". Mbona nilikua nafuraha sana mchana wa jana, iko wapi tena iyo furaha ? Nin kimetokea usiku ?.
Jibu la kwanza linakuja kunizodoa "usijisahaulishe jana umeachwa tena". Sasa picha ndo linaanza kuja taratibu, ilikua hivi sasa

Mwaka juzi nilizama kwenye dimbwi la mapenzi kwa namna ya kipekee, mpaka nikawa najilaum imekuaje nimechelewa kumjua uyu mtu. Siwezi kuelezea namna nilivyopenda ila kiufupi nilipindukia. Huyo mtu alikua rafiki yangu kwaiyo haikua kazi ngum kupata mda wa kumweleza namna navyojisikia. La haula!

Kwa ugeni nilionao kwenye hayo mambo sikujua kama ukiiambiwa sina jibu la kukupa nalo ni jibu, yani mtu akuambii kama amekukubal au amekukataa. Nimekuja kuelewa baadae sana kwamba inamaanisha sitaki kuwa na mahusiano na wew ila siwez kukuambia kwa sababu napenda tuwe marafiki.

Sijaelewa kwanin asingenieleza kuwa anataka urafik tu kutoka kwangu. Nilipoteza miaka miwil kuwa nae karibu, nilimuwazia kama mpenzi nikamtreat kama mpenzi. Feed back loop from hell ikazidi kuniaminisha kuwa ni mpenzi wangu mpaka nikaplan niweke mambo sawa nikamchumbie. Long story short, haya mahusiano yalikata baada ya yeye kusafir kikazi, aliporud akaanza kunisumulia jamaa aliyekutana naye uko na mipango yao ya kuoana.

I was like what the f*ck is this, kwamba hatukua kwenye mahusiano ya mapenzi. Mbona hadi ilifikia hatua ya kuja kulala kwangu tena kwa hiari yake nasio mara moja. Kama ni kuonewa huruma ndo kwa namna gan uku?. My first reaction nilimwambia nahitaj space kidogo, nikamuitia boda impeleke kwao mana mda ananiambia alikua kwangu. Nikamuwish all the best, nikafuta na namba baada ya kuagana nae. Na hiyo ndo ilikua heartbreak yangu ya kwanza, na ndo inanipiga till now. Nikawa kama nimechanganyikiwa nikaanza kwenda club kila jmos usiku, kila jpil huwa naamka na mtu nisiyemjua na habar za kumjua zinaishia nikashamcash, hapo ni either tubahatishane tena next week au nipate mwingine.

Sikua na mpango tena wa kupenda tena mtu mwingine, unfortunately nikapata kazi ambayo nilikua frontline kwenye customer interaction.
Hapo nilikua nishasoma vitabu kadhaa vya human relation, communication, psychollogy na sales kama vile how to win friends and influence people, how to sell anything, subtle art of not giving a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala, surrounded by idiots etc.
Nilijikuta nimekua mtu wa kujitoa kwa wateja, nawapa mda wa kuwasikiliza mana najua wanapenda kusikilizwa, nikipata opportunity nawapa appreciation. Nikajikuta baadhi ya wateja wameanza kuwa marafiki yani wananitafuta nikiwa free tunatoka kutembea, wengine wakafika hadi hom namimi nikafika makwao.

Tukawa tunaongelea hadi vitu personal na sio biashara tena. Hapo sanasana ilikua kwa wadada, na nilikua nayafanya yote nikiwa nimetanguliza heshima kwanza mana najua "mteja hatongozwi".
Katika wote nilikutana na mdada mmoja wa tofauti, yeye ilikua baada ya kuniambia yake alianza kunipa mimi nafas ya kuongea tena akionyesha kutaka kujua(interest) kwa kiwango cha juu kuliko mimi. Mwanzo nilikua siongei vitu ambavyo nilivizika na nikavifungia moyoni kwangu lakin ilikua siku had siku nazid kujaa kwenye 18 zake.

Mpaka nikajikuta nimeongea yote akanipa pole, na akawa anazid kunifanya nijione nina thaman. Nayeye akanambia yake tukazid kuzoeana. Ikawa karibu kila siku lazima apite kunisalimia, asipopita nilikua naona kuna kitu akijakamilika. Yote yanaendelea nikawa napata mtiririko wa maswal kichwani " je ni kwel nampenda huyu mtu au ni hal ya mda mfupi mana bado sijapona majeraha ya kupotezewa mda", "Ni kweli hayotojirudia tena yaliyotokea kwenye mahusiano ya kwanza", "kwa tabia niliyonayo sasa ni kwel namstahili huyu mtu" maswali yakawa meng sana ukiongeza na heshima kwa mteja sikuweza kumwambia kitu. Na mbaya zaidi kupunguza ukaribu ikawa siwezi tena, addiction kwa huyu mtu ilizid kuongezeka.

Niseme tu ukwel sijawai kuona mtu kama yeye, mtu kama maliaka ni mzuri, anajal, muelewa, mcheshi, pia akili za darasani zimelala hapo gpa yake nilibahatika kuona inasoma 4.0 diploma. Kwenye maisha pia ni fighter mana yupo mwaka wa kwanza lakin ashaanza kwenda kutafuta miradi. Kuna siku nilimpa hela akienda town aniletee sweta mana mimi nilikua busy kutoka, kwa hela niliyompa nikajua ataleta moja la janja janja then inayobaki aipige juu kwa juu. Cha ajabu alirud na mawil mazur akasema alipata ya mtumba kwa bei nafuu.

Baada ya kutafakari mda mrefu nikaona liwalo na liwe natafuta weekend moja nionane nae private nimweleze. Mpaka hapo nilidhamiria kujaribu tena, nikawa tayari kuacha tabia zote za ovyo nilizozianza.
Ndipo sasa tunarejea kwenye kilichotokea jana usiku. Nilikua nimetulia baada ya pilika za siku nzima nile nilale sasa, kabla ya yote nichek status za whatsapp kwanza ili nione wenzangu wanaeka nin uko mana ni mda sijaangalia. Nikakuta huyu bidada naye kaeka moja, nikaamua nianze nayo yenyewe. Siyakumbuki maneno yote yaliyopo pale ila yalikua ni maneno ya mtu mwenye furaha baada ya kuvishwa pete ya uchumba. Ham ya kula ikaishia hapo, ratiba ya muvi sikujua niliikatishaje mana ndo ulevi wangu mkubwa.Nikaeka playlist yangu pendwa ambayo nilishaanza kuiacha.

Ndio nimeamka saa 9 na kuandika haya yote. Sijui natakiwa kufurahi mana labda amepata mchumba mwaminifu pia mimi nilikua nataka kujaribu na huenda mambo yasingeenda vizuri, au nihuzunike kwa kua ni kama nakosa kipendacho roho , nasijui nitakua kwenye mood gani tukionana tena. Kiufupi sijui hata nireact vip ila moyo unaniuma sana nadhani kuliko heartbreak ya kwanza. Tena naona na text zake za salamu zimeingia saa 5 usiku.

Note; Bado ninaurafiki na aliyeniacha mwanzo mana nilisamehe nikaona uenda hakua na lengo baya zaidi ya kunionea huruma tu.


Tafuta pesa, hawa wanawake hawana maana
 
Huwa tunaingia nusu nusu kwenye mapenzi.

Achana na mademu wanaojipa standard za juu.

Tafuta mtoto Mbichi wa kawaida weka ndani.

Hao matawi piga mbupu halagu kausha kisela. Sio uhuni inaongeza hadhi ya KIUME.


acha kujifanya SHARUKHANI.

inatakiwa utafute demu unaeona anafaa OA. Utampenda mbele ya safari akishazaa watoto wako wawili watatu.

Tumia AKILI zaidi ya hisia.
 
Tatizo lako wewe ni DELUSIONAL. You read so much into details only to make them fit in your scenario and not reality.

Kama uliona movie ya JOKER basi wewe ni kama Joker. Unatengenezea uhalisia wako mwenyewe kwenye akili yako na kuufanya uwe ndio uhalisia wa huyo unaekuwa nae kwa wakati husika.

Nina hakika hao wanawake unaokuwa nao mpaka kuja kuumia huwa wana ishara zinazoonyesha kuwa hawako na wewe kimapenzi ila wewe unaamua kuzipuuza na kuendelea kuishi na uhalisia wako ulioamua kuutengeneza kwenye kichwa chako.

Ni vile tupo nchi za kifukara lakini kiuhalisia una matatizo ya kisaikolojia and you need psychiatric help.
 
NIlikua sina mpango wa kua na mahusiano ila nikajikuta nimeanguka tu kwa huyo bint, ila ndo ivyo maisha yanaendelea
Tafuta demu mpya.

Akizingua tupa vuta ingine weka ndani akileta uhuni tupa kule.

You should ruthless whein it comes to women. Sababu hawanaga akili ila wamejaa mahisia kibao.

Nasisitiza matumizi zaidi ya AKILI na sio HISIA.
 
Jamani Half american mwenzio alishakuwa attached to dada mzuri emotionally, kwahiyo maumivu lazima yawepo kwa kiasi chake.

01savag pole sana! Ila nakupa hongera kwakujikuta umetoka kwenye ile hali yakutokutamani/taka kupenda & kutulia na mtu wako, pia kwakuachana na self-sabotaging behaviour.

Honestly, hamna kitu kizuri kama kupenda na kujisikia kupendwa...so remember hako ka feeling going foward. Kwa sasa hivi rudisha focus kwenye kujiimarisha wewe emotionally, intellectually, physically & financially, wakati unasubiria mpenzi wako amalize kuhangaika hangaika huko aliko, ili akikufikia uwe sahihi kama ambavyo nae (hopefully) atakua sahihi kwako.
Nashukuru sana umenipa moyo
 
Kudos wanajf wote, nayaandika haya yote hapa kwenu nikiamin great thinkers na watu wenye ushauri mzuri mpo hapa, utani pia na kukosolewa naruhusu.
Naomba mnivumilie stori ni ndefu kidogo ila nitashukuru kama mtanisoma mpaka mwisho;

Ni saa 9 za usiku usingizi unatoweka ghafla,Nasikia sim kwa mbali inajirudia nyimbo hizi talking to the moon,impossible,dancing with your ghost etc. Kichwa nacho kinauma kama nimepatwa na maleria kali.
Naamua kukaa kitandani swali la kwanza linakuja "nina shida gan ?". Mbona nilikua nafuraha sana mchana wa jana, iko wapi tena iyo furaha ? Nin kimetokea usiku ?.
Jibu la kwanza linakuja kunizodoa "usijisahaulishe jana umeachwa tena". Sasa picha ndo linaanza kuja taratibu, ilikua hivi sasa

Mwaka juzi nilizama kwenye dimbwi la mapenzi kwa namna ya kipekee, mpaka nikawa najilaum imekuaje nimechelewa kumjua uyu mtu. Siwezi kuelezea namna nilivyopenda ila kiufupi nilipindukia. Huyo mtu alikua rafiki yangu kwaiyo haikua kazi ngum kupata mda wa kumweleza namna navyojisikia. La haula!

Kwa ugeni nilionao kwenye hayo mambo sikujua kama ukiiambiwa sina jibu la kukupa nalo ni jibu, yani mtu akuambii kama amekukubal au amekukataa. Nimekuja kuelewa baadae sana kwamba inamaanisha sitaki kuwa na mahusiano na wew ila siwez kukuambia kwa sababu napenda tuwe marafiki.

Sijaelewa kwanin asingenieleza kuwa anataka urafik tu kutoka kwangu. Nilipoteza miaka miwil kuwa nae karibu, nilimuwazia kama mpenzi nikamtreat kama mpenzi. Feed back loop from hell ikazidi kuniaminisha kuwa ni mpenzi wangu mpaka nikaplan niweke mambo sawa nikamchumbie. Long story short, haya mahusiano yalikata baada ya yeye kusafir kikazi, aliporud akaanza kunisumulia jamaa aliyekutana naye uko na mipango yao ya kuoana.

I was like what the f*ck is this, kwamba hatukua kwenye mahusiano ya mapenzi. Mbona hadi ilifikia hatua ya kuja kulala kwangu tena kwa hiari yake nasio mara moja. Kama ni kuonewa huruma ndo kwa namna gan uku?. My first reaction nilimwambia nahitaj space kidogo, nikamuitia boda impeleke kwao mana mda ananiambia alikua kwangu. Nikamuwish all the best, nikafuta na namba baada ya kuagana nae. Na hiyo ndo ilikua heartbreak yangu ya kwanza, na ndo inanipiga till now. Nikawa kama nimechanganyikiwa nikaanza kwenda club kila jmos usiku, kila jpil huwa naamka na mtu nisiyemjua na habar za kumjua zinaishia nikashamcash, hapo ni either tubahatishane tena next week au nipate mwingine.

Sikua na mpango tena wa kupenda tena mtu mwingine, unfortunately nikapata kazi ambayo nilikua frontline kwenye customer interaction.
Hapo nilikua nishasoma vitabu kadhaa vya human relation, communication, psychollogy na sales kama vile how to win friends and influence people, how to sell anything, subtle art of not giving a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala, surrounded by idiots etc.
Nilijikuta nimekua mtu wa kujitoa kwa wateja, nawapa mda wa kuwasikiliza mana najua wanapenda kusikilizwa, nikipata opportunity nawapa appreciation. Nikajikuta baadhi ya wateja wameanza kuwa marafiki yani wananitafuta nikiwa free tunatoka kutembea, wengine wakafika hadi hom namimi nikafika makwao.

Tukawa tunaongelea hadi vitu personal na sio biashara tena. Hapo sanasana ilikua kwa wadada, na nilikua nayafanya yote nikiwa nimetanguliza heshima kwanza mana najua "mteja hatongozwi".
Katika wote nilikutana na mdada mmoja wa tofauti, yeye ilikua baada ya kuniambia yake alianza kunipa mimi nafas ya kuongea tena akionyesha kutaka kujua(interest) kwa kiwango cha juu kuliko mimi. Mwanzo nilikua siongei vitu ambavyo nilivizika na nikavifungia moyoni kwangu lakin ilikua siku had siku nazid kujaa kwenye 18 zake.

Mpaka nikajikuta nimeongea yote akanipa pole, na akawa anazid kunifanya nijione nina thaman. Nayeye akanambia yake tukazid kuzoeana. Ikawa karibu kila siku lazima apite kunisalimia, asipopita nilikua naona kuna kitu akijakamilika. Yote yanaendelea nikawa napata mtiririko wa maswal kichwani " je ni kwel nampenda huyu mtu au ni hal ya mda mfupi mana bado sijapona majeraha ya kupotezewa mda", "Ni kweli hayotojirudia tena yaliyotokea kwenye mahusiano ya kwanza", "kwa tabia niliyonayo sasa ni kwel namstahili huyu mtu" maswali yakawa meng sana ukiongeza na heshima kwa mteja sikuweza kumwambia kitu. Na mbaya zaidi kupunguza ukaribu ikawa siwezi tena, addiction kwa huyu mtu ilizid kuongezeka.

Niseme tu ukwel sijawai kuona mtu kama yeye, mtu kama maliaka ni mzuri, anajal, muelewa, mcheshi, pia akili za darasani zimelala hapo gpa yake nilibahatika kuona inasoma 4.0 diploma. Kwenye maisha pia ni fighter mana yupo mwaka wa kwanza lakin ashaanza kwenda kutafuta miradi. Kuna siku nilimpa hela akienda town aniletee sweta mana mimi nilikua busy kutoka, kwa hela niliyompa nikajua ataleta moja la janja janja then inayobaki aipige juu kwa juu. Cha ajabu alirud na mawil mazur akasema alipata ya mtumba kwa bei nafuu.

Baada ya kutafakari mda mrefu nikaona liwalo na liwe natafuta weekend moja nionane nae private nimweleze. Mpaka hapo nilidhamiria kujaribu tena, nikawa tayari kuacha tabia zote za ovyo nilizozianza.
Ndipo sasa tunarejea kwenye kilichotokea jana usiku. Nilikua nimetulia baada ya pilika za siku nzima nile nilale sasa, kabla ya yote nichek status za whatsapp kwanza ili nione wenzangu wanaeka nin uko mana ni mda sijaangalia. Nikakuta huyu bidada naye kaeka moja, nikaamua nianze nayo yenyewe. Siyakumbuki maneno yote yaliyopo pale ila yalikua ni maneno ya mtu mwenye furaha baada ya kuvishwa pete ya uchumba. Ham ya kula ikaishia hapo, ratiba ya muvi sikujua niliikatishaje mana ndo ulevi wangu mkubwa.Nikaeka playlist yangu pendwa ambayo nilishaanza kuiacha.

Ndio nimeamka saa 9 na kuandika haya yote. Sijui natakiwa kufurahi mana labda amepata mchumba mwaminifu pia mimi nilikua nataka kujaribu na huenda mambo yasingeenda vizuri, au nihuzunike kwa kua ni kama nakosa kipendacho roho , nasijui nitakua kwenye mood gani tukionana tena. Kiufupi sijui hata nireact vip ila moyo unaniuma sana nadhani kuliko heartbreak ya kwanza. Tena naona na text zake za salamu zimeingia saa 5 usiku.

Note; Bado ninaurafiki na aliyeniacha mwanzo mana nilisamehe nikaona uenda hakua na lengo baya zaidi ya kunionea huruma tu.
utoto mwingi
 
Hapana, mimi kama mtu nliepitia hio circumstance namshauri awe rude, nyie wanawake sio viumbe wa kuonewa huruma. The more una mtreate mwnamke vizuri the more anakuchukulia poa... Make a move and stand on your decisions, hapo ndo heshima itakapo kuja. Bahat mbay demu alikuja mpk geto kabis akalala and he didn’t even fu*k her! After baadae anakuambia kachumbiwa. Asee hii kitu inafikirisha sana au there's something wrong with him!
tulifanya karibu kila kitu cha kiromantic mpaka mwenyew alikua anasema anapenda ila kwenye sex ikawa hatak, namimi maugomv ya kupambana na mtu kisa sex sikua nayataka.
Niliamin ni mtu anajiheshim sana na anataka nifike kwao kwanza.
Kwaiyo ilikua ni stori, muvi sometime kazi za ofisi tunafanya pamoja usiku,kutoka na marafik ilikua ni experience nzur sana
 
Kuteswa na mapenzi naonaga kama ni rich people problems.

Hivi unawaza upate vipi mtonyo hizo mbanga za mapenzi unazitoa wapi?
 
Nashukuru kwa mchango wenu wote, nimesoma kila comment mara mbil na kuzitafakari. Kwanza mmefanya nione namna navyozikuza hisia, chapili nimepata mawazo mapya mbali na niliyokua nayo mwanzo.
Shukrani sana wakuu
 
Back
Top Bottom