Nahitaji msaada wenu

gwenivia

Senior Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
118
Reaction score
20
WanaJF naomba yeyote anaefahamu tiba mbadala ya ugonjwa wa kutokwa na vipele vidogo vyeusi mgongoni anisaidie vinanikera sana sababu mgongo wangu uko kama mpira uliochorwa dot nyeusi haviwashi wala haviumi vipo mgongoni tu mnisaidie jamani na Mungu atawasaidia.
 
Onana na daktari bingwa wa magonjwa ya ngozi
 
Duh we ni noma kwanza umevionaje wakati vipo mgongoni?
 
Tumia sabuni moja inaitwa Pearl soap au Herb soap zinatumika kwa magonjwa ya ngozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…